Imewekwa: August 5th, 2022
Kukamilika kwa ujenzi wa kituo cha afya cha Kibona, kitakuwa mkombozi kwa wananchi wote wa kata ya kanoni. Kituo hicho kinajengwa kwa fedha za tozo kutoka serikali Kuu. Kwa awamu ya kwanza, s...
Imewekwa: August 1st, 2022
Wadau wanaotoa huduma za afya (sekta binafsi ) na umma wamekutana na kujadiliana namna ya kuendelea kuimarisha huduma za afya katika Halmashauri ya wilaya ya Karagwe. Kikao hicho kimefa...
Imewekwa: July 26th, 2022
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Karagwe wamehamasika zaidi kuendelea kuchanja chanjo ya kujikinga na UVIKO 19. Hii ni kutokana na uhamasishaji unaofanyika kwa ushirika wa watalaam wa afy...