• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Maji

  

Water

Introduction

The popoulation of Karagwe residents who receive clean water is 45.4%. Water supply services in rural and semi-urban areas are through water points located from 400 metres to 10 kilometres.

Karagwe Urban Water Supply Authority(KAUWASA)
KAUWASA was established on 21 June 2002 under water Act 8 of 1997. According to Memorandum of Understanding(MoU) between Karagwe Urban Water Supply Authority, karagwe District Council, and Ministry of Water in 2004 the Board of Director was formed inorder to make KAUWASA to operate in Business oriented way.

Vision
Kuhakikisha kuwa ni Mamlaka itakayokuwa bora zaidi kwa kutoa huduma yenye viwango kwa  uhakika, uaminifu, uadilifu, kiutaalamu na kutambua umuhimu wa wateja (Watumia maji) kwamba ndio wenye mali.

Mission

Kutoa huduma endelevu ya maji safi salama na ya kutosha kwa wakazi wote wa Mjini Karagwe inayozingatia usafi na hifadhi ya mazingira.

Duties of KAUWASA 
    To make sure water supply services are available all the time at right quality and quantity to all water users.
    To submit water charges proposal to KAUWASA Board of Director that will tier the running cost of service provision.
    To enrich and expand water systems at all areas in Karagwe Urban.
    Planning and implementation of new water project such as that of Charuhanga and Nyakahanga.
    Provision of education awareness of proper utilisation of water resources and sustainable conservation of water resources.
    To increse number of water sources in the District and improve water quality at acceptable standards of EWURA.
    To improve accessibility of safe and clean water from 23% to 40% in urban areas  and 45% to 65% in Rural areas by 2012.
    To mantains water sources by treating water schemes.
    Collection of water revenues from water beneficiaries and stakeholders.



 


TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA MAJI ROBO YA NNE 2016/17



  • Huduma ya Maji Vijijini
  • Hali Halisi

Kwa kuzingatia Sera ya Maji ya mwaka 2002, huduma ya maji vijijini kiwango cha maji kwa matumizi ya nyumbani katika vipindi vyote vya mwaka, ni lita 25 za maji safi na salama kwa mtu kwa siku, kwenye umbali usiozidi mita 400 kutoka kwenye makazi ya watu, na kila kituo kitahudumia watu 250. Jedwali 1.1 linaonyesha uwiano wa upatikanaji wa maji kitaifa na kiwilaya na Jedwal 1.2 linaonyesha idadi ya miundombinu iliyopo Karagwe

Upatikanaji wa maji Vijijini kitaifa
Upatikanaji wa maji Karagwe

67.7%

49%

Jedwali 1.1 

 

Idadi ya miundombinu 

 

Na
Aina ya Mradi

Idadi iliyopo 2015

1
Maji bubujiko (Gravity scheme)

18

2
Miradi inayotumia nguvu za mashine

13

3
Visima virefu

75

4
Visima vifupi

50

5
Vyanzo vilivyoboreshwa

86

6
Uvunaji wa maji ya mvua

593

Jedwali 1.2

 

  •  Program ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini Awamu ya Kwanza (I)

 

Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini, ikiwa ni sehemu ya Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji iliyoandaliwa mwaka 2007, ina lengo la kuhakikisha kuwa asilimia 95 ya wananchi waishio vijijini wanapatiwa huduma ya maji ifikapo mwaka 2025.

Jumla ya vituo 164 vitajengwa kwa awamu hii ya kwanza ya Tekeleza Sasa kwa Matokeo ya Haraka kwenye vijiji hivi sita (6). Hali Halisi ni kama inavyoonyesha kwenye Kiambatisho 1.1 

  • Mafunzo ya kwa Jumuiya za watumiaji Maji na Ukarabati wa visima

Halmashauri ilipokea tshs 20,000,000 kwa ajili ya uundaji wa Jumuiya za watumiaji maji, Mafunzo kwa viongozi wa Jumuiya za Watumiaji maji na kufufua vituo vya maji kwa mchanganuo ufuatao;

Na

Shughuli

Lengo

Kiasi

Hali ya Utekelezaji

1
Mafunzo kwa viongozi wa Jumuiya za watumiaji maji
Kutoa mafunzo kwa Jumuiya za Rukale/Nyakayanja, Kikarurwa, Bukiaki, Chakacha, Umoja, Bukangara, Mkombozi, Uhai, na Muungano
6,000,000
Mafunzo yamefanyika
2
Uundaji wa jumuiya za watumiaji maji
Kuwezesha, uundaji na usaji wa Jumuiya 20 za watumiaji maji Kasheshe, Ruhita, Rugu, Ndama, Nyabwegila, Katanda, Kibwera, Kigarama, Katembe, Kibogoizi, Kituntu, Katwe, Runyaga, Kandegesho na Omurulama
10,000,000
Maadalizi ya kufanya mafuzo yamekamiika
3
Kufufua vituo vya maji
Kununua spare na kukarabati papmu za mkono Nyakaiga
4,000,000
Taratibu za manunuzi zinaendelea

 

  • Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji Awamu ya Pili
  • Utekelezaji wa Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji Awamu ya pili kwa Wilaya ya Karagwe utekelezaji utaanza mwaka wa fedha 2017/18.
  • Utekelezaji wa Miradi kwa fedha za Ruzuku ya maendeleo
  • Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/17 imepanga kutekeleza mradi mmoja kwa fedha za ruzuku ya maendeleo kama ifuatavyo kwenye jedwali 1.1;
  • Na
  • Kijiji
  • Kata
  • Shughuli
  • Makisio
  • Gharama zilizotolewa
  • Maoni
  • 1
  • Kihanga, Kishoju
  • Kihanga
  • Ukarabati wa mradi wa maji KAKIKI
  • 60,000,000
  • 0.0
  • Fedha hazijatolewa
  • 2
  • Ahkishaka
  • Nyabiyonza
  • Ukarabati mradi wa maji Ahkishaka
  • 25,000,000
  • 0.0
  • Fedha hazijatolewa
  • 3
  • Ruhita, Nyakasimbi, Ihembe I
  • Rugu, Nyakasimbi na Ihembe
  • Kukarabati visima
  • 20,000,000
  • 20,000,000
  • Ukarabati unaendelea 

 

  • Shughuli nyingine zilizofanywa na Idara/watumishi wa idara kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2017
  • Ukarabati wa mradi wa maji  KABINDI Nyakaiga unaendelea
  • Mkandarasi wa kuchimba visima sita Omukakajinja na Chonyonyo M/s NAGHWAHI DRILLERS CO. LTD anendelea na kazi, visima vitatu Omukakajinja usimikaji wa pampu za mkono zinaendelea, kimoja Omukimeya maji yamepatikana na visima viwili vingine vimepatikana havina maji
  • Taarifa ya robo ya tatu kwa fomat ya Wizara itawasilsihwa kwenye kikao kitachofanyika tarehe 6/07/2017.
  • Kuendelela kutoa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji kwa kushirikiana na Afisa Mazingira
  • Mradi wa maji Kibogoizi taratibu za kununua vifaa vya ukarabati Halmashauri imewasilisha maombi ya fedha Wizara ya maji na Umwagiliaji tarehe 29/05/2017
  • Halmashauri imepata mfadhili wa kujenga mradi wa maji Kijiji cha Kashasha, Kata ya Kituntu, wafadhili ni M/s Water Mission wakishirikiana na Rotary Club Karagwe.

Changamoto :

  • Wakandarasi wapo eneo la miradi ila bado fedha zinachelewa kuletwa , Halmashauri ya Wilaya Karagwe imewasilisha hati za madai za wakandarasi na Mshauri Elekezi zenye thamani ya tshs 2,381,068,819.56 fedha bado hazijatolewa

Mikakati

Kuendelea kusisimamia wakandarasi ili kuhakikisha kazi zinafanywa kwa mujibu wa “specification” na kwa wakati uliokubalika.

Kuhakikisha jamii inashirikishwa kikamilifu kwenye shughuli zote za mradi na kuwawezesha kumudu uendeshaji na matengenezo kwa 100%

Kuendelea kuandika maombi ya fedha za ukarabati na ujenzi wa miradi kwa wadau wengine

Eng. Wolta S. Kirita

Mkuu wa Idara ya Maji

Halmashauri ya Wilaya Karagwe

 




 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.