• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MADIWANI 32 KARAGWE DC WAIANZA SAFARI YA UTUMISHI KWA WANANCHI (2025 - 2030) RASMI LEO.

Imewekwa: December 2nd, 2025

MADIWANI 32 KARAGWE DC WAIANZA SAFARI YA UTUMISHI KWA WANANCHI (2025 - 2030) RASMI LEO.

Jumla ya waheshimiwa madiwani 32 wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe wamekabidhiwa rasmi Mamlaka ya kuwatumikia Wananchi wa Wilaya hiyo, baada ya kuapishwa kiapo cha uadilifu wa Umma mbele ya Hakimu mkazi Mkuu wa Mahakama ya mwanzo Mhe. Flora Haule na mbele ya Afisa Tawala wa Wilaya hiyo Ndg. Rasul Shandala ambaye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkutano huo wa kwanza uliofanyika leo Tarehe 02/12/2025, katika ukumbi wa Halmashauri (Angaza).

Aidha, Kupitia Mkutano huo wa Kwanza Waheshimiwa madiwani walipata nafasi ya kufanya Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, pamoja na kuunda Kamati mbalimbali za Halmashauri ambapo Diwani wa Kata ya Chanika Mhe. Longino W. Rwenduru ameteuliwa kuwa Mwenyekiti na Diwani Kata ya Rugu Mhe. Adrian Kobushoke kuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza hilo.

Naye, Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe; Innocent Bashungwa amewashukuru Wananchi kwa kuendelea kumuamini yeye na Madiwani na kuongeza kuwa, kupitia baraza hilo kipaumbele chao kiwe ni kuhakikisha wanatatua changamoto na kero walizopokea kutoka kwa Wananchi kipindi walipopita kuomba kura Vilevile alisema kuwa angependa Wilaya ya Karagwe iwe moja kati ya Wilaya ambazo zinatekeleza maagizo ya Rais ya siku 100 kwa wakati.

Kwaupande wake, Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe; Julius Kalanga Laizer amewashukuru Wananchi wa Karagwe kuendelea kudumisha amani na amewasisitiza kujiepusha na viashiria vya uvunjifu wa amani. Pia amesisitiza kuhakikisha ahadi za Rais za siku 100 zinatekelezwa ikiwemo Bima kwa wote na kuhakikisha miradi inasimamiwa vizuri na inatekelezwa kwa wakati.

Vilevile, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi.Happiness Msanga aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri  zilizofanyika kwa kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa ambapo Waheshimiwa Madiwani walimpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kusimamia shughuli hizo vyema na kwa weledi pia walipata nafasi ya kuhoji na kupatiwa majibu papo kwa papo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Mhe; Longino Rwenduru alifunga Mkutano huo kwa kusisitiza umuhimu wa kusimamia mapato na matumizi ya Halmashauri pamoja na ushirikiano ili kufanikisha malengo kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE September 02, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 17, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MADIWANI 32 KARAGWE DC WAIANZA SAFARI YA UTUMISHI KWA WANANCHI (2025 - 2030) RASMI LEO.

    December 02, 2025
  • DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA

    November 14, 2025
  • DED MSANGA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

    September 29, 2025
  • WATUMISHI KARAGWE DC WAMSHUKURU DED KWA KUWEZESHA MAFUNZO YA AFYA YA AKILI.

    September 19, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIARA YA WALIMU KATIKA HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.