• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Utawala

Administration


Karagwe District Council has  thirteen(13) departments six(6) unit.These departments have close relationship in their operation.The department of Administration and Personel is among of them which coordinates admininistration matters and report directly to District Executive Director for supervision and decision making.


The District council has  199 employees  at the Head Quarter and around 2600 in wards


Key roles for the department in the council are:

To manage genenal administration in the council.
To emphasize on staff regulations, circulars, standing orders,and displinary code .

Inorder to organised it's duties, the department is divided in the following subsections.


1.0 Administration and Personel subsection.


  Main functions:

 Enterpretation of rules and regulation corncerned on legal matter in the council.
    To facilitate on registration of new employees,and retirement of old employees.
    To supervise on open and confidential registry activities.
    To monitor on allocation of staffs' house.
    To deal with recruitments,confirmation and promotion of employees.
    To prepare and mantain employees' record.
    To carry out annual performance appraisal according to open performance    
Review And Appraisal System (OPRAS).


1.1  Secretariet Subsection

Main functions:

 To coordinate council meetings by writing minutes,record keeping, and   maintaining meeting attendance register.
    To prepare proposal for commitee meetings and its implementation.
    To focus on Councilors affairs.

1.2 Transport subunit

This deals with all management of vehicles in the District council.It supervises management team and the District Executive Director on proffessional matters. Moreover it ensures regular motor vehicles' service,insurance, and repair is mantained. Keeping fuel consumption per milage travelled on each vehicle as a daily task for the Unit.


1.3 The Councilors

The District Council have 29 councilors,which are lead by Hon. Mr. W Mashanda as the chairman.

The council is a legal entity which makes binding decision. Inorder for the decision to take effect , it must path through either of these meetings.

Committee meetings and Meetings of Authority (Popular known as Full Council)



TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

 

UTANGULIZI


Katika kipindi cha robo ya nne 2023/2024 Idara imetekeleza shughuli za kawaida kama ifuatavyo

1. Taarifa iliwasilishwa ikionesha shughuli zilizofanywa na idara ikiwa ni Kuandaa malipo ya mishahara na kuhakiki malipo ya watumishi waliopo kwa sasa ambao jumla ni 2,649, kati yao wanaume ni 1,523 na wanawake 1,126.

2.  Aidha, Idara imeratibu zoezi la upandishaji wa vyeo vya watumishi ambapo jumla ya watumishi 846 walipandishwa vyeo na kulipwa mishahara mipya, aidha watumishi 14 walibadilishiwa muundo wa utumishi.

3       Pia Idara imesimamia ufanyikaji wa vikao vya kisheria kwakipindi cha robo ya nne kwa mchanganuo ufuatao, Kamati ya fedha uongozi na mipango lengo vikao 03, na vyote vimefanyika, vikao vya wataalam CMT 03, kamati ya maendeleo ya kata 23. Mkutano wa halmashauri ya kijiji lengo vikao 231, na vimefanyika 179 na mkutano mkuu wa kijiji lengo 77, na vilivofanyika ni 61.

4       Taarifa ilionesha watumishi 04 walihama kwenda Halmashauri nyingine, Watumishi 07 walihamia Halmashuri ya Karagwe na Watumishi 10 walikoma utumishi wa umma

5       Aidha, Katika kipindi cha robo ya nne 2023, Halmashauri imepokea ajira mpya za watumishi 144 wa kada mbalimbali na watumishi 07 wamethibitishwa kazini.

6       Wakijadili Taarifa hiyo wajumbe walitoa pongezi kwa serikali kwa kutoa ajira mpya ya watumishi 144 katika Halmshauri (W) Karagwe.

7.       Wajumbe walishauri kuwa Idara husika kufanya ufuatiliaji wa watendaji wa vijiji wasiofanya mikutano ya Halmashauri ya kijiji.

Changamoto: Vilevile kumekuwa na mwitikio mdogo wa wananchi kuhudhuria vikao vya kisheria ngazi ya Vijiji, hali hii imepelekea  kutofanyika kwa mipango ya maendeleo katika Vijiji husika.




J. Mwakisu

MKUU WA IDARA 

IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA

KARAGWE



Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.