• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Uchaguzi


MAJUKUMU YA KITENGO CHA UCHAGUZI

  • Kuratibu shughuli zote zihusuzo uchaguzi (uchaguzi wa serikali za mitaa, uchaguzi mkuu na chaguzi ndogo zote zitakazo jitokeza baada ya uchaguzi kufanyika).
  • Kuratibu mazoezi yote ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa uchaguzi mkuu na Orodha ya wapiga kura kwa Uchaguzi wa serikali za mitaa
  • Kuratibu maswala yote muhimu kwa ajili ya kuwezesha mazoezi ya uchaguzi (maswala hayo ni pamoja na maandalizi ya uteuzi wa wagombea, kuratibu kampeni za wagombea, maadalizi ya vituo vya kupigia kura, mafunzo kwa washiriki wote wa mazoezi ya uchaguzi. Mambo yote haya yanafanyika kwa ushiriji wa karibu na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI na Wizara inayosimamia Uchaguzi wa serikali za Mitaa).
  • Kushirikiana na Idara ya Utumishi kuhakikisha mafunzo ya mara kwa mara yanafanyika kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa Mujibu wa Sheria
  • Kumshauri Mkurugenzi juu ya maswala yote yahusuyo uchaguzi katika Halmashauri ili kuwezesha mazoezi hayo kufanyika kwa mujibu wa Sheria
  • Kutekeleza majukumu mengineyo kwa maelekezo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya. 


  • TAARIFA YA KITENGO CHA UCHAGUZI KWA MWAKA 2016/2017

  • UTANGULIZI

Katika kipindi hiki cha mwaka 2016/2017 kitengo cha Uchaguzi kimeendelea kutekeleza majukumu yake kama kawaida. Shughuli zilizofanyika katika kipindi hiki ni kama ifuatavyo.

Kufuatilia kesi za uchaguzi zilizopo mahakamani za uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na uchaguzi Mkuu 2015

Kuhudhuria vikao mbalimbali vya kikazi

Kuratibu nafasi wazi za viongozi wa kata , Vijiji na Vitongoji

Kusimamia’ Hesabu za mali (Stock taking) ya vifaa vya uchaguzi

2.0 UTEKELEZAJI

2.1 Kufuatilia kesi za uchaguzi zilizopo mahakamani za uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na uchaguzi Mkuu 2015.

 

Jumla ya kesi 3 za uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2014 bado zipo mahakama kuu katika hatua  ya usikilizwaji; na kesi 1 ya uchaguzi mkuu ,2015 wa madiwani nayo iko mahakama kuu kwa hatua ya usikilizaji.

 

Kuratibu nafasi wazi za viongozi wa kata , vijiji na vitongoji

Kwa mwaka 2016/17 jumla ya nafasi 54 za viongozi wa vijiji ziko wazi kutokana na sababu mbalimbali kama inavyoonekana katika jedwali  hapo chini .Aidha kulingana na maelekezo tuliyoyapata toka Ofisi ya katibu tawala Mkoa kwa barua kumb Na.FA.78/148/01’D’/56 ya Tarehe 06/12/2016 uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi wazi za viongozi wa vijiji na kata unagharimiwa na Halmashauri husika. Katika bajeti ya 2016/17 ziliidhinishwa Tsh. 10,017,000 makisio halisi ni Tsh.  20,385,000.00. Hivyo ufanyikaji wa uchaguzi mdogo utategemea upatikanaji wa fedha.

kusimamia Hesabu za mali (Stock taking) ya vifaa vya uchaguzi

kazi hii imefanyika tarehe 10 Juni,2017 kwa kushirikiana na kitengo cha manunuzi na ugavi.

Jedwali A: Nafasi wazi za Viongozi wa Vijiji na Vitongoji kwa mwaka       2016/2017

NA
NAFASI WAZI
Kata
KIJIJI/KITONGOJI
SABABU
1
Mwenyekiti wa Kijiji
Kanoni
Rwambaizi
ametenguliwa katika nafasi hiyo baada ya kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja
2
Wajumbe 4 Halmashauri a Kijiji
Kanoni
Rwambaizi
1-kuondolewa dhamana na chama
-3 kujiuzuru
3
Mwenyekiti wa kitongoji
Kanoni
Rwambaizi/Omurwele
Alijiuzuru
4
Wajumbe 4 Halmashauri ya Kjiji
Kanoni
Kibona
Kujiuzuru na kuhama
5
Wajume 5 Halmashauri ya kijiji
Kanoni
Kanoni
Kujiuzuru na kuhama
6
Wajumbe 4 Halmashauri ya Kjiji
Kanoni
Nyakahita
1-amefariki
1-amejiuzuru
2- wamehama
7
Mwenyekiti wa Kijiji
Rugu
Kasheshe (Rugu)
Amefariki
8
Mjumbe wa Serikali ya Kijiji
Kasheshe (Rugu)
Ameenda masomoni na kujiuzuru
9
wenyekiti wa vitongoji
Kihanga
Kihanga/bugerelo
wamefariki
10
Mjumbe serikali ya kijiji
Kihanga
Kibwera
Amefariki
11
Mwenyekiti wa Kitongoji
Kihanga
Kishoju/miembeni
Amefariki
12
Mwenyekiti wa Kitongoji
Bweranyange
Bweranyange/omukatukuru
Amefariki
13
Mwenyekiti wa Kijiji
Bweranyange
Chamchuzi
Amefariki
14
Mwenyekiti wa kitongoji
Kituntu
katembe/Kitongoji Rushe 'A'
Amejiuzuru
15
Mwenyekiti wa Kitongoji
Kituntu
katwe/Nyakigongo 'B'
Kupata hatia na kufungwa miaka miwili
16
Wajume 2 wa serikali ya kijiji
Kituntu
Katembe
Kutohudhuria vikao vya kisheria tangu achaguliwe
17
 Mwenyekiti wa kitongoji
Kituntu
Katembe/bikiri
Aliondolewa dhamana na chama
18
Mjumbe 1 serikali ya kijiji
Kituntu
katwe
alijiuzuru
19
Mjumbe 1 serikali ya kijiji
Kituntu
Kituntu
alijiuzuru
20
Mwenyekiti wa Kijiji
Nyakakika
Kanywamagana
Alijiuzuru
21
Mwenyekiti wa Kitongoji
Nyakakika
KAIHO/Ahakatoma
Kushindwa kesi mahakamani
22
Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji
Rugera
Nyarugando
Amejiuzuru
23
Mjumbe wa Halmashauri ya Kijiji
Omukakajinja
Amejiuzuru
24
Mwenyekiti wa Kijiji
Kiruruma
Biyungu
Amefariki
25
Mwenyekiti wa Kitongoji
Kiruruma
Kiruruma/ Kalamba
Amefariki
26
Mwenyekiti wa Kitongoji
Kayanga
Rwambale
Amepoteza sifa
Hakuonekana kwenye Kitongoji chake kwa miezi saba mfurulizo

27
Mwenyekiti wa Kitongoji
Nyakabanga
kanogo/chanyamuromba
Amefungwa mwaka mmoja gerezani
28
Mwenyekiti wa Kitongoji
Nyakabanga
kanogo/rwakihigwa
Amefungwa mwaka mmoja gerezani
29
Mwenyekiti wa kijiji
Ihembe
Kibogoizi
amefariki
30
Mjumbe wa halmashauri ya kijiji
Ihembe
Kibogoizi
Amefariki
31
Mwenyekiti wa kitongoji
Ihembe
Ihembe II/Kibembe
Amefutiwa dhamana na chama chake
32
Mwenyekiti wa kitongoji
Chanika
Kahundwe/champesha
Haonekani kwenye kituo cha kazi
33
Mjumbe wa Halmashauri ya kijiji
Chanika
Kahundwe
Kutohudhuria vikao vya kisheria tangu achaguliwe
34
Wajumbe 3 halmashauri ya kijiji( viti maalum)
Nyabiyonza
Bukangara
kuhama na kujiuzuru
35
Wajumbe 3 halmashauri ya kijiji
Nyabiyonza
Nyabiyonza
kujiuzuru
36
Mwenyekiti wa Kitongoji
Nyabiyonza
Ahakishaka /ahakishaka
amefariki

30
Mwenyekiti wa Kitongoji
Nyakasimbi
Kahanga/kahanga
Kuacha na kwenda masomoni

3.0 Changamoto

katika kipindi hiki kitengo kimekabiliwa na changamoto ya   kushindwa kuteketeza nyaraka za chaguzi zote mbili kutokana na kuwepo kwa kesi mahakamani na pia kutopata mwongozo wa uteketezaji wa nyaraka za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Afua ya kukabiliana na changamoto hizo: kufuatilia kwa karibu kesi zilizopo mahakamani ili zikamilike . Hata hivyo kitengo kinaendelea kuwasiliana na mamlaka za juu ili kuona namna ya kutelekeza nyaraka kwa maeneo ambayo hayana kesi na pia kupata mwongozo wa uteketezaji wa nyaraka za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2014.

 

Ashura A. Kajuna

 MKUU WA KITENGO CHA UCHAGUZI

HALMASHAURI YA WILAYA

KARAGWE



Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.