• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Idara ya Elimu Sekondari

SECONDARY EDUCATION
Karagwe District has 27 secondary schools with a total number of 9134 students out of which 4927 are female and 4207 are male. 

The issue of rehabilitation and construction of classrooms and teacher houses have been an importantfocus.  The strategy for construction of classrooms and teachers’ houses has changed from a true paidconstruction to cost sharing arrangement with community contribution taken to the maximum.   This hasproved to be an effective and cost efficient strategy to increase the number of classrooms, teachers’ houses, and latrines.  It has also reinforced community ownership of schools and capabilities inaddressing problems. 

CLASSROOM  TEACHERS  RECRUITMENT AND DEPLOYMENT
The District has 19 government secondary schools with a total of 537 teachers whichmakes the teacher -student ratio of 1:17 this creating a need for more science teachers. Currentlythe district is facing a shortage of 84 Science teachers. 


ENROLMENT AND EXPANSIONThe following good response from the parents and the community as a whole, the district for theyear 2014 has managed to enroll in FORM I the total of 1620 students 827 female and 793 malethat is a performance of 68% of total enrollment.




TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA KAZI ZA IDARA YA ELIMU YA SEKONDARI KWA MWEZI APRILI HADI JUNI 2017

 

  • UTANGULIZI
  • Mh. Mwenyekiti,
  • Katika kipindi cha Januari hadi Juni 2017 Idara imeendelea kusimamia utoaji wa elimu ya sekondari katika shule 27, ambapo 19 ni za Serikali na 8 zisizo za Serikali. Kwa mujibu wa takwimu za shule za sekondari (TSS) za tarehe 31 Machi 2017 shule za serikali zilikuwa na jumla ya wanafunzi 9,134 (Wav. 4,206 na Was. 4,928). Shule zisizokuwa za Serikali nazo zilikuwa na wanafunzi wapatao 2013 (Wav. 891 na Was. 1122).
  • Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2017, Shule za Serikali zilikuwa na jumla ya walimu 535 (wa masomo ya sanaa na lugha wakiwa 438 na wa masomo ya sayansi na hisabati wakiwa 97).  Shule hizi zinauhitaji wa walimu 78 kwa masomo ya sayansi na hisabati na mafundi sanifu wa maabara (Lab. Technicians) 57. Aidha shule hizi hazina upungufu wa walimu kwa msomo ya sanaa.
  • UENDESHAJI WA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2017

Mh. Mwenyekiti,

  • Idara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, Ofisi ya Mkuu wa Usalama wa Taifa (W), Mkuu wa Polisi (W), Ofisi ya Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa – Kitengo cha Elimu (REO) na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) iliendesha kwa ufanisi ufanyikaji wa mtihani wa Taifa wa kidato cha sita (ACSEE) mwezi Mei 2017.  Jumla ya watahiniwa 163 (110 wa Shule na 53 wa Kujitegemea) walifanya mtihani. Aidha mtihani huo ulifanyika katika shule 3 (Bugene, Karagwe na Nyaishozi). Mtihani ulianza kufanyika siku ya Jumanne 2/5/2017 na kumalizika Ijumaa 12/5/2017. Skripti za majibu ziliwasilishwa mkoani  (ofisiya REO) tarehe 13/5/2017.
  • UENDESHAJI WA MITIHANI YA UTIMILIFU (MOCK) WILAYA KWA KIDATO CHA PILI NA CHA NNE 2017
  • Mh.  Mwenyekiti,
  • Idara kwa kushirikiana na Wakuu wa Shule za Sekondari imeendesha kwa ufanisi Ufanyikaji wa mitihani ya utimilifu ngazi ya Wilaya kwa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne wapatao 5057 (Kidato cha pili 2952 na Kidato cha nne 2105). Kwa kidato cha pili shule zilizoshiriki ni 27 na kwa kidato cha nne ni shule 25.
  • Mchakato mzima wa uendeshaji wa mitihani ulizingatia Ratiba ya shughuli       (schedule of activities) kama inavyooneshwa katika jedwali Na. 1
  • Jedwali Na. 1:Ratiba ya Shughuliza Uendeshaji Mitihani ya Utimilifu 2017
    • Na
    • Shughuli
    • Wahusika
    • Mahali
    • Muda
    • 1
    • Utungaji wa mtihani
    • Walimu
    • Shuleni
    • Aprili (week 1 -2)
    • 2
    • Urekebishaji (Moderation)
    • Walimu/DSEO
    • Ofisini
    • April (Week 3)
    • 3
    • Uchapaji wa Mtihani
    • DSEO/TAHOSSA
    • Ofisini
    • April (Week 4)
    • 4
    • Uzalishaji nakala
    • DSEO/TAHOSSA
    • Ofisini
    • May 8 - 21
    • 5
    • Ufungaji na Usambazaji
    • DSEO/TAHOSSA
    • Ofisini
    • May 22 - 28
    • 6
    • Kufanyika mtihani
    • Wakuu wa Shule
    • Shuleni
    • May 29-June5
    • 7
    • Kupeleka skripti vituoni
    • Wakuu wa Shule
    • Shuleni
    • June 6
    • 8
    • Usahihishaji
    • Wakuu wa Cluster
    • Vituo teule
    • June 6 - 11
    • 9
    • Uingizaji alama katika mkeka
    • DSEO/TAHOSSA
    • Ofisini
    • June 12 - 17
    • 10
    • Kuunganisha matokeo
    • DSEO/TAHOSSA
    • Ofisini
    • June 18 - 20
    • 11
    • Kutoa/Kutangaza Matokeo
    • DSEO/TAHOSSA
    • Kikao
    • June (week 4)
    • 12
    • Kikao cha Tathmini
    • DSEO/HOS
    • Kikao
    • July 2017

    • Mh. Mwenyekiti,
    • Gharama za uendeshaji wa mitihani hii zilichangiwa na shule zetu chini ya usimamizi wa Mkuu wa Idara kwa kila shule kuchangia wanafunzi wake kiasi cha Shs. 2000/= kwa mtahiniwa. Zilikusanywa jumla ya Shs 10,114,000/=. Shule za Serikali zilichangia wanafunzi wake kwa kutumia fedha za Fidia ya ada kifungu cha “mitihani endelezi”.
    • Aidha kwasababu ya dharura zisizotegemewa tulijikuta gharama za uzalishaji mtihani zilizokuwa katika bajeti zimeongezeka. Kikao cha dharura cha Idara kiliitishwa na wakuu wa shule walikubaliana kuchangia kila mtahiniwa nyongeza ya shs. 500/= ambapo zilikusanywa shs. 2,528,500/=.
    •  
    • Hadi kufikia tarehe ya kuwasilisha taarifa hii kazi ya kuingiza alama katika mkeka imekamilika na Matokeo ya mtihani huo yameambatishwa pamoja na taarifa hii kwa kiambatisho Na. 1 na Na. 2. Aidha vikao vya tathmini vinaendelea katika ngazi ya shule na Wilaya ili kurekebisha mapungufu.
    • TAARIFA YA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE 2016 WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA ELIMU YA JUU
    •  
    • Mh. Mwenyekiti,
    • Mapema mwezi  Juni 2017 Serikali ilitoa orodha ya wahitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2016 waliopata sifa na kuchaguliwa kuingia katika kidato cha tano na vyuo vya ufundi.
    • Aidha kwa wilaya yetu uchambuzi wa orodha iliyotolewa na OR-TAMISEMI unaonesha kuwa jumla ya wahitimu 532 wamechaguliwa kuendelea na masomo ya juu katika shule na vyuo vya Serikali. Hawa ni sawa 98% ya wanafunzi 542 waliopata daraja la I hadi la III katika matokeo yao. Kati ya hao, wanafunzi 287 tayari wamepangiwa shule na vyuo kwa awamu ya kwanza na wengine waliobaki watapangwa katika awamu ya pili. Mchanganuo wa wanafunzi hao kwa kila shule kwa awamu zote mbili umeoneshwa katika kiambatisho Namba 3 .
    •  
    • Mh. Mwenyekiti,
    • Hata hivyo Wanafunzi hawa waliopata nafasi kuendelea na elimu ya juu ni sawa na 26% ya wanafunzi wote 2025 waliofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwaka 2016.
    •  
    • 5. UENDESHAJI WA MICHEZO YA UMISSETA
  • Hata hivyo yafuatayo yameshauriwa kwa wananchi

    Mradi huo tayari umeanza kutekelezwa katika eneo la Nyakatoro katika kitongoji cha Kabigimbwa, ambapo vyumba vitatu (3) vya madarasa vimefikia hatua ya rinta.

    Naomba kukufahamisha kuwa kijiji cha Kigarama kilichoko kata ya Igurwa katika mkutano wake wa tarehe 20/3/2017 waliazimia kuanza ujenzi wa shule ya sekondari mpya. Hii ni kutokana na umbali mrefu kwa wanafunzi  kuifikia shule ya sekondari Igurwa.

    Mh. Mwenyekiti,

    6. TAARIFA YA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI

    Wilaya yetu ilifanikiwa kupata ushindi katika michezo ya kurusha tufe na kisahani,mashidano yalimalizika rasmi tarehe 16/6/2017.

    Idara kwa kushirikiana na wadau wengine ilifanikiwa kuendesha mashindano ya michezo ya UMISSETA kuanzia ngazi ya shule, baadaye ngazi ya cluster na wilaya, ambapo timu ya wilaya yenye wanafunzi wapatao 43 walikwenda kushiriki mashindano katika ngazi ya Mkoa.

    Mh. Mwenyekiti,


    • Linunuliwe eneo jirani  na eneo inakojengwa shule ambalo litatumika kupata uwanja wa michezo vinginevyo shule haitapata usajili.
    • Wananchi wa kijiji cha Kigarama wakubali shule inayojengwa iwe mali ya kata na si kijiji kama zilivyo shule za msingi.
  • 7.   CHANGAMOTO NA AFUA

     


    • Idara inakabiliwa na changamoto ya kutoletewa OC na hivyo kutotekeleza majukumu yake ipasavyo. Changamoto hii inatatuliwa kwa kuomba fedha kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji pale inapolazimu


  • Mwl. UpendoRweyemamu

    HALMASHAURI YA WILAYA KARAGWE

    Kny:MKURUGENZI MTENDAJI


  • F4 MOCK 2017 RESULTS TEMPLATE.xlsx

  • F2 MOCK 2017 RESULTS TEMPLATE.xlsx

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAWAFUATA WANANCHI KATANI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.