• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TEHAMA

KITENGO CHA TEHAMA:

 

  • 1.0       UTANGULIZI:

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ni mojawapo ya vitengo tisa (09) na Idara tisa (09) zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe.


  • RASILIMALI WATU WALIOPO KATIKA KITENGO CHA TEHAMA

Kitengo cha TEHAMA kina jumla ya watumishi watatu (03) ambao ni kama ifuatavyo:-

Na
Jina la Mtumishi
Cheo
01.
Adam Kiunsi John
Afisa TEHAMA
02.
Rukiza Abed Rwakilomba
Afisa TEHAMA
03.
Aliko John Mwambegele
Afisa TEHAMA


  • 3.0 RASILIMALI MIFUMO 

Kitengo cha TEHAMA cha TEHAMA kinahusika moja kwa moja na mifumo yote katika Halmashauri.Ifuatayo ni mifumo inayosimamiwa na kitengo cha TEHAMA.

NA
JINA LA MFUMO
IDARA/KITENGO MFUMO UNAPOTUMIKA
1.
Mfumo wa malipo Serikalini (MUSE)
Kitengo cha Fedha na Kitengo cha Ugavi
2.
Mfumo wa Taarifa za kiutumishi (HCMIS)
Divisheni ya Utawala na Utumishi
3.
Mfumo wa huduma za matibabu (GoTHoMIS)
Divisheni ya Afya.
4.
Mfumo wa kupokea na kutolea taarifa za kifedha ngazi ya vituo (FFARS)
Divisheni ya Elimu Msingi, Sekondari na Afya
5.
Mfumo wa mapato (TAUSI)
Kitengo cha Fedha na Idara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji.
6.
Mfumo wa mapato (LGRCIS)
Kitengo cha Fedha na Idara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji.
7.
Mfumo wa Bajeti (Planrep)
Divisheni ya mipango, takwimu na ufatiliaji.
8.
Mfumo wa sensa za elimu msingi na sekondari (BEMIS)
Divisheni ya Elimu msingi na sekondari.
9.
Mfumo wa manunuzi (NEST)
Kitengo cha Ugavi na manunuzi
10.
Mfumo wa huduma za kiutumishi (ESS)
Divisheni na vitengo vyote vya Halmashauri.


4.0 MAJUKUMU YA KITENGO CHA TEHAMA

Kutayarisha mpango mkakati kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

Kuishauri menejimenti ya Halmashauri juu ya masuala yanayohusiana na sera zinazohusiana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.

Kusimamia maendeleo ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano na utekelezaji wake kwa ajili ya Halmashauri.

Kutoa na kuratibu maswala yote ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano kwa menejimenti ya Halmashauri.

Kutathimini, kuboresha na kusimamia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na usimamizi wa mifumo mbalimbali iliyosimikwa kwenye Halmashauri.

Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo.

Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na namna ya kuthibiti.

 


                                                  

Adam K. John

KAIMU MKUU WA KITENGO CHA TEHAMA

HALMASHAURI YA WILAYA

KARAGWE



Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.