• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TEHAMA

KITENGO CHA TEHAMA NA UHUSIANO.

Majukumu ya Kitengo cha Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano

  • Kutayarisha mpango Mkakati wa kuhusu teknolojia ya habari na mawasiliano, Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  • Kuishauri Menejimenti ya halmashauri  ya masuala yanayohusiana na sera zinazohusiana na teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.
  • Kuishauri Menejimenti ya halmashauri juu ya masuala yanayohusiana na sera, miongozo na taratibu zinazohusiana na takwimu.
  • Kusimamia maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wake kwa ajili ya halmashauri.
  • Kutoa na kuratibu msaada wa teknolojia ya habari kwa menejimenti ya halmashauri.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia teknolojia ya habari na mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye halmashauri.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya teknolojia ya habari na mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.
  • Kuandaa sera ya Tehama
  • Kusimamia Tovuti ya Halmashauri


TAARIFA YA UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI WA KITENGO CHA TEHAMA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

 

UTANGULIZI:

Kitengo cha TEHAMA kina jumla ya watumishi wanne (04) ambao  ni kama ifuatavyo:

Na.
Jina la Mtumishi
Wadhifa
01.
Beatus Joseph Nyarugenda
Mchambuzi wa Mifumo ya kompyuta na Mkuu wa Kitengo
02.
Frank Itogo Ruhinda
Afisa Habari
03.
Geofrey Archard Kazaula
Afisa Habari
04.
Innocent Emmanuel Mwalo
Afisa Habari


Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017, Kitengo cha TEHAMA kilitekeleza shughuli zifuatazo: Kusimamia shughuli za kila siku za kitengo cha Tehama, kuhudhuria vikao na mikutano mbalimabili kwa kuwakilisha kitengo cha Tehama, kuendelea kusimamia na kuratibu mifumo mbalimbali ya TEHAMA ikiwa ni pamoja na kufanya maandalizi ya kufunga Mfumo wa Kuratibu shughuli za Hospitali na kuendelea na maboresho ya Tovuti  ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe.

 

2.0 Shughuli hizo zilitekelezwa kama ifuatavyo:

2.1 Utekelezaji wa shughuli za kila siku za kitengo cha Tehama

Kwa kipindi cha mwaka wa Fedha 2016/2017, tumeendelea   kutekeleza shughuli mbalimbali za Kitengo

cha Tehama hususani kufanya marekebisho ya vifaa mbalimali

Vya kieelectronics kama vile Kompyuta, printers scanner

mashine Photocopy nk ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri wa

kitaalamu juu ya matumizi ya vifaa hivyo,

Aidha tumeweza kufanya marekebisho madogomadogo ya vifaa mbalimbali katika idara na vitengo vyote, marekebisho hayo madogomadogo yamefanyika kwa takribani kompyuta 20, printer 3, na baada ya marekebisho hayo madomadogo tumebaini kompyuta nane, printer sita na photocopy mashine nne ambazo zinahitaji marekebisho makubwa

4 Vikao na Mikutano Mbalimbali

Kwa kipindi hiki tumehudhuria vikao vyote vilivyohusisha kitengo hivyo tuliweza kuhudhuria vikao vyote vya kisheria ikiwemo CMT, Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, pia na kikao cha kazi cha maandalizi ya kufunga mfumo wa Kuendesha shughuli za Hospital katika Kituo cha Afya Kayanga

5.Kufunga mfumo wa Kuendesha Shughuli za Hospitali

Katika kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ndani na katika kuboresha shughuli za utoaji wa Huduma ya Afya ikiwa ni pamoja na kutekeleza maagizo ya Serikali juu ya ufungaji wa mfumo wa kukusanya mapato ya Hospital vituo vya Afya na Zahanati, tiyari tumeanza kufanya maadalizi ya kufunga mfumo huo katika kituo cha Afya Kayanga ikwa ni pamoja na kufanya upembuzi yakinifu kwa kushilikiana na shilika la MDH na Wizaraya ya Afya ambao tiyari umekwishafanyika na sasa tupo kwenye hatua za mwisho za ufungaji wa mfumo huo ambapo tunategemea Kuwa Mfumo utakuwa umeanza Kufanya kazi ifikapo mwezi December 2017

6. Kukusanya na kuandika habari ambazo ziliweza kutolewa kwa vyombo mbalimbali vya Habari kama vile radio, mbao za matangazo na tovuti ya Halmashauri ya wilaya Karagwe.

 

  • 7. Kupiga picha matukio yote muhimu ya shughuli mbalimbali zilizokuwa zinatekelezwa katika Halmashauri na kuzitumia kwenye machapisho mbalimbali  na picha nyingine ziliwekwa kwenye maktaba ya picha kwenye tovuti ya Halmashauri ya wilaya.
  •  8. Kukusanya takwimu mbalimbali na kuziweka kwenye tovuti ya Halmashauri ya wilaya kwa ajili ya kuwasaidia wananchi  kupata taarifa mbalimbali kwa njia ya mtandao.
  • Kuratibu shughuli zote za utoaji wa habari za serikali ikiwa ni pamoja na kuwawezesha waandishi wa habari kupata habari kwa urahisi nah ii ni kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya Habari ya mwaka 2016 inayozitaka taasisi za serikali kutoa taarifa kwa wadau wa Habari.Kwa ujumla kuratibu habari za kutoa kwa wadau wa vyombo vya habari kulisaidia sana katika kuitangaza chanya Halmaashauri  yetu ya wilaya.
  • Kuandaa matangazo mbalimbali
  •     Matangazo mbalimbali mfano; matangazo ya zabuni, taarifa   kwa vyombo vya habari na taarifa kwa umma kupitia mbao za matangazo ziliandaliwa kwa kushirikiana na Idara husika na yaliwekwa kwenye tovuti ya Halmashauri ya wilaya kwa ajili ya kuuhabarisha umma juu ya masuala mbalimbali na maagizo yanayotolewa na serikali.

   Ninawasilisha. 

 


                                                  

Beatus Nyarugenda

MKUU WA KITENGO CHA TEHAMA

HALMASHAURI YA WILAYA

KARAGWE

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.