• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA

Imewekwa: November 14th, 2025

DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA


Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe: Julius Kalanga Laizer ameongoza Kikao cha Tathimini ya Utekelezaji wa Afua za Lishe ngazi ya Kata kwa robo ya kwanza kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ambapo amewasistiza Watendaji wa Kata kuendelea kusimamia upatikanaji wa chakula mashuleni kwenye maeneo yao na kuweka utaratibu rafiki kwa wazazi ambao wanaishi katika mazingira magumu.

Akizungumza katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya Mhe: Laizer leo Novemba 14, 2025 amewasisitiza watendaji hao wa kata  kutimiza wajibu wao ikiwa ni pamoja na kuanzisha mashamba darasa ya kulima mazao ambayo yatachangia kuongeza chakula Shuleni ili kusaidia watoto wenye mazingira magumu na wazazi ambao hawawezi kuchangia chakula shuleni.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi; Henrietta William amewahimiza Watendaji Kata kutumia majukwaa mbalimbali kuhamasisha Wananchi kutunza vyakula ili viwasadie wakati wa kiangazi na kuacha tabia ya kuuza mazao yote kwani kufanya hivyo ni kuwatesa watoto.

Akipitia kadi alama Afisa lishe Wilaya Bi; Asnat Thobias ameeleza kuwa katika Wilaya ya Karagwe tuna shule za msingi 157 na shule za Sekondari 29 na zote zinatoa huduma ya chakula Shuleni na kufikia asilimia 100 kama kadi alama ilivyonyesha.


Aidha, Bi; Asnat ameeleza mafanikio kwa kipindi cha robo ya Julai-Septemba kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kumekuwa na ongezeko la idadi ya watoto walinyonya maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo ambapo ni 8923 kati ya 9119 sawa na Asilimia (97.9%), Kupungua kwa idadi ya wajawzito wenye upungufu wa damu ambao ni 9 kati ya 5701 (0.2%)

Bi; Asnat alisisitiza Kuendelea kushirikiana kuhamasisha wazazi na walezi kwenye uchangiaji wa huduma ya chakula Shuleni kupitia majukwaa mbalimbali, Kuendelea kuhamasisha wanaume kujihusisha na masuala ya lishe ya familia ili maamuzi ya chakula iwe shirikishi kwa wote na Kuendelea na uelimishaji kwa akina Mama na wenza wao kuwahi klinik mapema mara anapojihisi wana ujauzito ili kupata huduma za Afya na uzazi mapema.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE September 02, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 17, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA

    November 14, 2025
  • DED MSANGA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

    September 29, 2025
  • WATUMISHI KARAGWE DC WAMSHUKURU DED KWA KUWEZESHA MAFUNZO YA AFYA YA AKILI.

    September 19, 2025
  • UFAULU WA ASILIMIA 100 WAWAPELEKA WALIMU WA KIDATO CHA TANO NA SITA HIFADHI YA TAIFA YA NGORONGORO.

    August 11, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIARA YA WALIMU KATIKA HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.