• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Idara ya Msingi

PRE-PRIMARY SCHOOL INFORMATION


1.0 INTRODUCTION:

Karagwe District Council has a total of 127 Primary Schools of which 116 are government schools and 11 non-government schools. Until 28, January 2024 Karagwe District has a total of 75,541 students with 38,398 boys and 37,143 girls.

2.0 NUMBER OF TEACHERS

The Division of Early and Basic Education has a total need of 2,373 teachers, the present is 1,320 teachers equal to 55.6% and the shortage is 1,053 teachers equal to 44.37%.

Karagwe  District has a number of 7,649 pre-primary pupils of whom 3,489 are female and  are 3,639 male in 110 Pre-primary Schools


The issue of rehabilitation and construction of classrooms and teacher houses have been an important

focus.  The strategy for construction of classrooms and teachers’ houses has changed from a true paid

construction to cost sharing arrangement with community contribution taken to the maximum.   This has

proved to be an effective and cost efficient strategy to increase the number of classrooms, teachers’

houses, and latrines.  It has also reinforced community ownership of schools and capabilities in

addressing problems. 


PRIMARY SCHOOL QUALITY IMPROVEMENT

-To date the ratio of books stands at 1:6. This was caused by the rules/ guides on the right

text to be used in learning.  Before this ruling out of text to be used, the ratio of books was

1:6.  The paradigm shift of learning and lack of funds are the main cause of this situation. 


-Teachers’ pupil ratio before PEDP was 1:85 to date stands at 1:46 which indicates the

teachers’ employment does not match with the increased enrollment.


-Meanwhile the range of recruitment is 100 teacher per year for Karagwe District  which

shows the  encouragement of government  initiatives.


-Availability of other teaching materials to date increases tremendously as funds for

purchase of  teaching materials is made available .



TAARIFA FUPI YA IDARA YA ELIMU YA MSINGI KWA MWAKA 2022/2023

1.0 UTANGULIZI:

Halmashauri ya Wilaya Karagwe ina jumla ya Shule za Msingi 127 ambapo shule 116 ni za serikali na shule 11 zisizo za Serikali. Hadi kufikia 28, Januari 2024 Wilaya ya Karagwe ina jumla ya wanafunzi 75,541 ikiwa na Wavulana 38,398 na wasichana 37,143.

2.0 IDADI YA WALIMU

Divisheni ya Elimu ya Awali na msingi  inamahitaji ya jumla ya walimu 2,373, waliopo ni walimu 1,320 sawa na asilimia 55.6% na upungufu ni walimu 1,053 sawa na asilimia 44.37%.

3.0 MIUNDO MBINU

Hali ya miundo mbinu katika Shule za Msingi ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali lifuatalo:-

Na

Aina

Mahitaji

Yaliyopo

%

Upungufu

%

1
Vyumba vya madarasa
2,338
1,046
44.73
1,292
55.3
2
Nyumba za Walimu
3,766
1,689
44.8
2,077
55.2
3
Matundu ya vyoo
3,766
1,689
44.8
1,936
55.2
4
Nyumba za walimu
1,320
285
21.8
1,035
78.4
5
Madawati
23,816
22,331
83.7
1,485
6.2

 

4.0 WATUMISHI

a) Orodha ya watumishi Ofisi ya Elimu Msingi

  • Mwl.Alloys N.S Maira                  - Afisa Elimu Msingi (w)
  • Mwl. Edwin Majura                      - Afisa Taaluma(w)
  • Mwl. Rashid I. Milambo               - Afisa Taaluma(w)
  • Mwl. Dickson R. Zephrine           - Afisa Elimu vifaa na Takwimu(w)
  • Mwl. Merryness Alphonce           - Afisa Elimu Maalum(w)
  • Mwl. Wilson Simon                      - Afisa Elimu Watu Wazima
  • Bi. Restuta Barthazar                  - Msaidizi wa Ofisi
  • Bi. Tuwe Jeremiah                       - Mtunza kumbukumbu
  • Bi. Maryhappiness Mtagwaba      - Mwandishi mwendesha Ofisi
  • Godfrey Kibasindira                      -  Dereva            

b) Orodha ya Maafisa Elimu Kata

NA

JINA KAMILI

KATA

1
JOHANITHA RULEMALILA
AEK-  BUGENE
2
RWABUTI AVANCE BUTOGO
AEK - BWERANYANGE
3
KALEMBO RWEYEMAMU LEONARD
AEK - CHANIKA
4
PHIDES LUFURALO
AEK - CHONYONYO
5
MWEMEZI  C. BARNABAS
AEK-  IGURWA
6
RAJABU S MOHAMED
AEK-  IHANDA
7
INNOCENT B  KABYAZI
AEK-  IHEMBE
8
CHIRISTOPHER MALCEL
AEK-  KAMAGAMBO
9
MADAI  A. KAISI
AEK-  KANONI
10
BENJAMIN  M. MAZIMBA
AEK-  KAYANGA
11
ERASTO MWOMBEKI
KAIMU AEK-  KIBONDO
12
LEAH FREDICK KATABAZI
AEK-  KIHANGA
13
YUSUFU BUKEREME MUHAMUDU
AEK-  KIRURUMA
14
MBERWA JANUARY BISENSHON
AEK-  KITUNTU
15
AUGUSTINE M.ZINEHULA
AEK-  NDAMA
16
KAMUGISHA BYAMUNGU
AEK-  NYABIYONZA
17
PEREUS MUZEE KILENZI
AEK-  NYAISHOZI
18
EUGEN WAZIRI
AEK-  NYAKABANGA
19
TUNGI C. KABINDI
AEK - NYAKAHANGA
20
ALEXANDER M BIBANTAHO
AEK-  NYAKAKIKA
21
EDITHA M MADOSHI
AEK-  NYAKASIMBI
22
BENETH BARNABAS RWEKAZA
AEK-  RUGERA
23
PONTIAN KANYORO CELESTINE
AEK-  RUGU

 

5.0 HALI YA TAALUMA

Takwimu zifuatazo zinaonesha hali ya ufaulu katika mitihani ya Kitaifa kwa kipindi miaka 5 (2019- 2023).

MWAKA

DARASA

WALIOSAJILIWA
WALIOFAULU
%
WAS
WAV
JML
WAS
WAV
JML

2019

VII
3,264
2,790
6,054
2,801
2,420
5,221
87.07
IV
4,792
4,649
9,441
4,721
4,598
9,319
98.7

2020

VII
3,419
3,038
6,457
3,065
2,739
5,804
90.96
IV
6,713
6,514
13,227
5,779
6,145
11,942
95.95

2021

VII
3,822
3,655
7,477
2,739
3,065
6,122
83.16
IV
5,433
5,940
11,373
4,233
4,924
9,157
85.91

2022

VII
4,390
4,048
8,438
3,190
3,352
6,542
78.85
IV
5,303
5,149
10,452
4,331
3,966
8,297
84.40

2023

VII
5,744
5,054
10,798
4,086
3,437
7,523
71.69
IV
5,601
5,587
11,188
3,676
4,000
7,676
75.25

6.0 MALI ZA IDARA

NA

AINA YA KIFAA

HALI YA KIFAA

IDADI

1
Kompyuta za mezani
Nzima
2
2
Kompyuta Mpakato
Nzima
3
3
Printer
Nzima
3
4
Scanner
Nzima
1
5
Projector
Nzima
1
6
Kompyuta ya mezani
Mbovu
2
7
Meza
Nzima
13
8
Viti
Nzima
13
9
Magari  STK4752, SM14974,STL9428
Nzima
3
10
Kabati
Nzima
13


7.0 FEDHA ZA IDARA

Idara imepokea jumla ya Tshs. 278,000,000.00 kwa mchanganuo ufuatao:-

NO

MAHITAJI

KIASI 

KILICHOPOKELEWA

KIASI KILICHOPO

KIASI KILICHOBAKI

1
Matibabu

6,000,000.00

51,958,100.00

-

2
Uhamisho

96,000,000.00

48,000,000.00

-

3
Nauli za Likizo

164,000,000.00

41,698,900.00

42,301,100.00

4
Ufuatiliaji wa miradi ya LANES na TEA

4,000,000.00

-

-

5
Ufuatiliaji wa miradi ya SWASH

8,000,000.00

-

-

JUMLA KUU

278,000,000.00

 

 


b) Madeni ya wazabuni

Idara ya Elimu Msingi hadi kufikia Januari 2024 inadaiwa na wazabuni Kiasi cha Tshs 4,861,000.00 tu.


8.0 MAFANIKIO YA ELIMU

  • Halmashauri kuendelea kuomba walimu wa ajira mpya kwenye Mamlaka zinazohusika na utoaji wa ajira za walimu na pia kuhamasisha wazazi wa shule zenye mapungufu makubwa wa walimu kutafuta walimu wa kujitolea wenye sifa stahiki.
  • Kuhimiza walimu kufundisha kwa muda wa ziada kwa kujitolea hasa kwa madarasa ya mitihani ya Kitaifa.
  • Kufanya ufuatiliaji wa majaribio yanayotolewa kila mwisho wa mwezi kwa madarasa yatakayofanya mitihani ya Taifa na kuwahimiza walimu kukamilisha mihtasari ya masomo kwa wakati.
  • Kufanya ufuatiliaji wa taaluma shuleni mara kwa mara ili kubaini walimu wasiotekeleza wajibu wao na kuwachukulia hatua stahiki.
  • Kutoa nafasi kwa walimu kujiendeleza Kitaaluma na Kitaalamu ili kuweza kuboresha ufundishaji na ujifunzaji.
  • Kutoa motisha kwa walimu na shule zinazofanya vizuri katika masomo na mitihani ya kitaifa ili kuboresha ari ya ufundishaji na ujifunzaji.
  • Kutoa motisha kwa walimu na shule zinazofanya vizuri katika masomo na mitihani ya kitaifa ili kuboresha ari ya ufundishaji na ujifunzaji.
  • Idara kuhakikisha inatoa huduma bora,ili kuamsha ari ya utendaji kazi kwa walimu.


9.0 CHANGAMOTO

  • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi inakabiliwa na upungufu wa walimu 1,053 sawa 44.37%. Upungufu huu unatokana na ongezeko kubwa la uandikishaji wa wanafunzi wa Awali na darasa la kwanza, walimu wanaostaafu kwa mujibu wa sheria na kwa hiari.
  • Pamoja na juhudi za serikali za kuboresha miundombinu shuleni bado idara inaupungufu wa vyumba vya madarasa,matundu ya vyoo na nyumba za walimu kama inavyooneshwa kwenye jendwali:-


10.0    UTATUZI WA CHANGAMOTO

  • Halmashauri kupitia divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi inaendelea kuomba walimu wa ajira mpya kwenye Mamlaka zinazohusika ili kupunguza tatizo la upungufu wa walimu.
  • Kuiomba serikali kupitia wafadhili wa miradi kama EP4R, LANES,SWASH,TEA na World Bank kuendelea na ujenzi wa nyumba za walimu,ujenzi wa vyumba vya madarasa na ujenzi wa vyoo.
  • Kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu kama Jambo for Development, World Vision na Mavuno katika kutatua changamoto za miundombinu shuleni.


ALLOYS N. S. MAIRA

AFISA ELIMU MSINGI

HALMASHAURI YA WILAYA KARAGWE








Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.