• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Idara ya Msingi

PRE-PRIMARY SCHOOL INFORMATION


Karagwe  District has a number of 7,649 pre-primary pupils of whom 3,489 are female and  are

3,639 male in 110 Pre-primary Schools



PRIMARY EDUCATION


Karagwe has 113 primary schools with a total number of 59,072 pupils out of which 29,511 are

female and 27,982 are male. 


The issue of rehabilitation and construction of classrooms and teacher houses have been an important

focus.  The strategy for construction of classrooms and teachers’ houses has changed from a true paid

construction to cost sharing arrangement with community contribution taken to the maximum.   This has

proved to be an effective and cost efficient strategy to increase the number of classrooms, teachers’

houses, and latrines.  It has also reinforced community ownership of schools and capabilities in

addressing problems. 


PRIMARY SCHOOL QUALITY IMPROVEMENT

-To date the ratio of books stands at 1:6. This was caused by the rules/ guides on the right

text to be used in learning.  Before this ruling out of text to be used, the ratio of books was

1:6.  The paradigm shift of learning and lack of funds are the main cause of this situation. 


-Teachers’ pupil ratio before PEDP was 1:85 to date stands at 1:46 which indicates the

teachers’ employment does not match with the increased enrollment.


-Meanwhile the range of recruitment is 100 teacher per year for Karagwe District  which

shows the  encouragement of government  initiatives.


-Availability of other teaching materials to date increases tremendously as funds for

purchase of  teaching materials is made available .



TAARIFA FUPI YA IDARA YA ELIMU YA MSINGI KWA MWAKA 2016/2017

Utangulizi:

Mhe. Mwenyekiti, Idara ya Elimu Msingi hapa Wilayani ina vitengo vya utawala, taaluma, vifaa na takwimu, elimu ya watu wazima, elimu maalum na kitengo cha utamaduni na michezo.

Idara inazo shule za msingi 118 ambazo 110 ni za serikali na shule 8 ni za binafsi.  Aidha katika shule hizo yapo madarasa ya elimu ya awali 109 ya serikali na 6 ya binafsi.  Jumla ya madarasa ya elimu ya awalini 115.

Pia idara inao walimu 1,310 walioko darasani wakiwa wanahudumia wanafunzi 75,108 wa elimu ya kawaida na wanafunzi 54 wa elimu maalum.

B)      Kazi kubwazilizofanyikachini ya vitengombalimbalinikamaifuatavyo:-

(i)       Kumepokelewa jumla ya vitabu 117,657 vya mtaala mpya hadi sasa kwa darasa la I hadi la III kwa masomo yote ya darasa la I na II na masomo ya Hisabati, Kiswahili, Maarifa na English kwa darasa la III.

(ii)      Kumefanyika mitihani yaTaifaya kuhitimu elimu ya msingi na ya darasa la nne na matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo:

         

Wahitimuwaelimu ya msingi(PSLE drs la VII) mwaka 2016.

Waliotegemewa
Waliofanya
Waliofaulu
%
Waliochaguliwa
%
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml
2,131
2,557
4,688
2,122
2,553
4,675
1,679
1,911
3,590
76.6
1,679
1,911
3,590
100

Matokeo ya darasa la IV 2016.

Waliotegemewa

Waliofanya
Waliofaulu
%
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml

2,805

3,251

6,056

7,752

3,194

5,946

2,219

2,394

4,613

78

(iii)     Yamefanyika mafunzo juu ya uongozi bora nauendeshaji shule

Kwa kamati za shule za msingi 110 za serikali.

(iv)     Uandikishaji wanafunzi umekuwa kama ifuatavyo:

Msingidarasa I 2017.

Waliotegemewa

Waliofanya
% ya uandikishaji
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml

6,001

5,981

11,880

7,693

7,929

15,622

131%

Usajiliwadarasa la Awali 2017.

Taasisi

Tegemewa

Sajiliwa
%
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml

Serikalitu

6,871
6,630
13,651
7,237
7,050
14,288
104%

Serikalina  Binafsi

6,899
6,659
13,688
7,314
7,113
14,428
105%

               (c)   UsajiliElimuMaalum 2017.

Tegemewa

Sajiliwa
%
Wv
Ws
Jml
Wv
Ws
Jml

18
17
35
13
12
25
71%

                                     

          (v)      Hali ya miundombinukwamwaka 2016/2017.

Aina
Nyumba
Madarasa
Vyoo
Ofisi M/Mkuu
Ofisiwalimu
Tanki la maji
Dawati
Meza
Viti
Maktaba
Kabata

Mahitaji

1,665

1,665

2,751

118

203

203

24,633

3,316

3,582

178

2,628

Iliyopo

326

904

1,391

91

80

83

22,909

1,401

1,564

43

616

Upungufu

1,339

761

1,360

27

123

120

1,724

1,915

2,018

135

2,012

(vi)     Vime patikana vifaa kwa ajili ya elimu maalum kutoka Wizarani vyenye thamani ya zaidi tsh. 23,000,000/= vifaa hivyo vimegawiwa katika shule za Sekondari Ruhinda na S/Msingi Nyakahanga.

(vii)    Kuhusu utamaduni na michezo, michezo mbalimbali imefanyika wilayani ikiwa ni pamoja na Umitashumta kupeleka vijana 2 kushiriki ngazi ya taifa.  Mwanafunzi Ladslaus Ludovick wa Nyakahanga S/Msingi amechaguliwa kwenda Sports Academy Taifa.

Pia siku ya utamaduni taifa hapa wilayani tumepata wageni kutoka UNESCO Mr.Phillipe Roisse na Simeone Pecorari ikiwa ni pamoja na kutangaza vivutio vya utalii vilivyoko wilaya ya Karagwe.

Aidha ligi mbalimbali za mpira wa miguu zimeendeshwa mf. Ligi ya Mkoa, Ligi ya Wilaya (KDFA), ligi ya mbuzi (Kayanga + Nyakahanga), ligi ya ng’ombe – Nyaishozi na ligi za madiwani Rugera na Kituntu.

(viii)    Kumefanyika  shughuli za kuingiza walimu katika mfumo wa Lawson kwa masomo wanayofundisha.

(ix)     Aidhazoezi la kusajili wanafunzi wote darasa la I - VII 2017 lilifanyika kwa kuwaingiza katika mfumo wa ‘PRem’.

(x)      Limefanyika zoezi la kuingiza takwimu zote muhimu za elimu ya msingi katika mfumowa “Bemis”.

C)      Changamoto:

(i)       Idara inakabiliwa na uhaba wa vitendea kazi kutokana na ruzuku kutotolewa ipasavyo hivyo idarai mekuwa inapata msaada toka vyanzo vya ndani vya halmashauri (Ownsource).

(ii)      Bado tunao upungufu mkubwa wa walimu 830 ili kuwa na ikama stahili ya kuhudumia wanafunzi waliopo shuleni.

(iii)     Mifumo iliyoanzishwa katika taarifa hiyo imeleta utata pale zinazohitajika taarifa za  kutuma /kurekebisha wakati huo hakuna mtandao.

Naomba kuwasilisha.

Angela M. Anselimi

KAIMU AFISAELIMU MSINGI

HALMASHAURI YA WILAYA

KARAGWE








Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAWAFUATA WANANCHI KATANI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.