• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Sheria

KITENGO CHA SHERIA


  • UTANGULIZI :

Kitengo cha Sheria kimojawapo kati ya vitengo vya Halmashauri ya wilaya ya karagwe .kitengo hiki kina majukumu yake makubwa ni kusimamia mashauri yote yaliyo mahakamani au mabaraza ambayo halmashauri inashtaki au kushtakiwa, kuishauri Halmashauri katika mambo yanayohohusu sheria, kuandaa sheria ndogo na kanuni mbali mbali za Halmashauri, kuandaa na kufanya upekuzi katika mikataba ambayo halmashauri inangia na pande nyingine .

  • WATUMISHI KATIKA KITENGO :
  • WILSON SAUL NYAMUNDA         ---     MKUU WA KITENGO
  • MAGRETH RICHARD MWENDA   ---    AFISA SHERIA II
  • KEVIN DEUS MASHOLE               ---    AFISA SHERIA II


Kitengo cha sheria katika halmashauri ya Karagwe  kinatekeleza majukumu yake kulingana na sheria na miongozo. Kitengo hiki  kinatekeleza majukumu mbalimbali kama ifuatavyo
    MAJUKUMU YA KITENGO CHA SHERIA

  • Kutoa tafsiri za  sheria,kanuni na miongozo mbalimbali kwa Halmashauri na idara zake. 
  • Kusimamia na kuendesha  kesi za Halmashauri zilizopo mahakamani.     
  • Kusimamia na kushauri  juu ya utekelezaji katika Halmashauri     
  • Kushauri Halmashauri  maeneo ya kuundia sheria ndogo.     
  • Kutoa ushauri wa jumla  wa sheria kwa Halmashauri.     
  • Kuandaa sheria ndogo  kwa kushirikiana na sekta husika.     
  • Kusimamia mabaraza ya  Kata katika Halmashauri.     
  • Kushauri juu ya utatuzi  wa migogoro ya ardhi katika Halmashauri.     
  • Kutoa ushauri wa  kisheria kwa vijiji vilivyoko katika Halmashauri.   

  Kushauri Halmashauri katika usimamizi wa mikataba ya Halmashauri.

Bonyeza hapo chini ili uweze kutazama Kanuni na Sheria

KANUNI NA SHERIA.pdf

Taarifa iliwasilishwa ikionesha kazi zilizofanywa na kitengo kwa robo ya nne ikiwa na Kusimamia mashauri katika mahakama na mabaraza ya kisheria ambayo Halmashauri imeshitaki ama kushitakiwa.

Kuandaa mikataba ya ujenzi wa miradi ya madarasa ya Shule kongwe na Boost aidha KushirikIi katika kikao cha kupitia rasimu ya mkataba wa m-mama.

Wakijadili taarifa hiyo wajumbe walishauri kitengo kuongeza nguvu katika kusimamia mashauri yaliyopo mahakamani


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.