• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Ujenzi

Engineer of Works

The Department is concerned with making sure infrastructure is well andsupportive to community of Karagwe. By knowing that available of propersocial infrastructure is the booster of Community Development, then theDepartment is full engaged in constructions of Government Building Projectssuch as school classes, health dispensaries, bridge, and roads.
Road Network

In terms of road network the District has a total of 903km of roads out ofwhich 384.3km are earth roads, 508.7km are gravel roads and 10km areottasea.road network at krgdc

At Karagwe District, the council has been allocating funds for road repairand rehabilitation both in urban and villages. Until now the Councilthrough Road Fund has managed to reconstruct various roads in order to besustainable throughout the year.

Functions of Departments

 To sensitize the community on road issues/matters and by-laws.    To prepare road strip map and BOQs.Ensuring availability of Government  builings,plants and equipments areworking at 100%.    Upgrading of some community roads to feeder roads.



1.1 IDARA YA MIUNDOMBINU, MAENDELEO VIJIJINI NA MJINI

Malengo ya Idara

Idara ya Miundombinu, Maendeleo Vijijini na Mjini ni kushauri juu ya shughuli zote zinazohusika na Miundombinu katika Halmashauri ya Wilaya Karagwe na itasimamiwa na Mkuu wa Idara.

Majukumu ya Idara

Idara inafanya majukumu yafuatayo:

Kutoa ushauri juu ya shughuli za ujenzi;

Kupanga mipango ya kuendeleza miundombinu;

Kuchambua na kuthibitisha malipo ya Wakandarasi;

Kukagua kazi za ujenzi zilizofanywa na Halmashauri kwa ajili ya kuthibitsha ubora;

Kutoa vyeti vya utimilifu wa kazi kwa wakandarasi;

Kuanzisha barabara mpya za vijijini kwa kushirikiana na TARURA;

Kuanzisha na kuimarisha ushirikiano na taasisi za nje na ndani ya nchi zinazofanya kazi za ujenzi wa miundombinu;

Kushiriki katika kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi;

Kusimamia ukuaji/uendelezaji  wa vijiji na miji kwa kushirikiana na Wizara yenye mamlaka ya ardhi;

Kusimamia maendeleo ya makazi katika vijiji na miji kwa kushirikiana na Wizara yenye mamlaka ya ardhi;

KITENGO CHA MIUNDOMBINU (WORKS SECTION)

Kitengo hiki kinaongozwa na Msimamizi wa Kitengo na kinafanya kazi zifuatazo;

Kutoa ushauri kuhusu sheria, miongozo, utaratibu juu ya shughuli zote zinazohusiana na majengo;

Kuchambua, kutafsiri na kusimsmia utekelezaji wa sera, sheria na miongozo kuhusu ujenzi/majengo;

Kuandaa mikataba ya ujenzi na kusimika mitambo;

Kuandaa maksio /makadrio ya gharama za ujenzi;

Kufuatilia/kusimamia utendaji wa wakandarasi;

Kupitia, kuchambua na kuidhinisha  malipo ya Wakandarasi;

Kukagua na kuthibitsha ubora wa majengo;

Kutoa vyeti vya utimilifu wa kazi kwa wakandarasi kwa kuzingatia mikataba;

Kusimamia uendeshwaji wa shughuli za Workshop ya Halmashauri;

KITENGO CHA BARABARA (ROAD SECTION)

Kitengo hiki kinaongozwa na Msimamizi wa Kitengo na kinafanya majukumu yafuatayo:

Kutoa ushauri kuhusiana na utambuzi na ufunguaji wa barabara mpya;

Kuchambua, kutafsiri na kusimsmia utekelezaji wa sera, sheria na miongozo kuhusu ujenzi/majengo;

Kufungua barabara mpya katika maeneo yaliyopimwa;

Kuandaa mikatba kwa ajili ya kufungua barabara mpya;

Kuandaa maksio/makadirio ya gharama za kufungua barabara mpya;

Kufuatilia/kusimamia utendaji wa wakandarasi;

Kutoa vyeti vya utimilifu wa kazi kwa wakandarasi kwa kuzingatia mikataba;

Kukagua ubora wa barabara zilizofunguliwa;

KITENGO CHA MAENDELEO VIJIJINI NA MJINI (RURAL AND URBAN DEVELOPMENT)

Kitengo hiki kinaongozwa na Msimamizi wa Kitengo na kinafanya majukumu yafuatayo:

Kusimamia maendeleo ya makazi katika vijiji na miji kwa kushirikiana na Wizara yenye mamlaka ya ardhi;

Kusimamia mazingira na huduma za kijamii;

Kuongoza mipango ya ukuaji wa miji midogo, makazi na matumizi bora ya ardhi;

Kusimamia na kuratibu  makumbusho/mali kale na utalii;

Kusimamia ukuaji/uendelezaji  miji kwa kushirikiana na Wizara yenye mamlaka ya ardhi;

Kuratibu na kulea miji ya vijiji inayochipukia kwenda miji midogo;

Kushiriki katika kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi;

2.0       WATUMISHI KATIKA IDARA

Idara ya Miundombinu,Maendeleo Vijijini na Mjini ina watumishi wafuatao:

Eng.Jimmy B. Njau – (Civil Structural Eng.II, Kaimu Mkuu wa Idara);

Eng. Honoratus F. Kessy            -   (Civil Structural Eng.II);

Eng.Bamunoba F.Tilugambilwa - (Mech. Engineer I);

Dioniz S.Kyaruzi – (Civil Tech-  Mwandamzi);

Libent Kalabamu – (Civil Tech-  Mwandamzi);

Morice B.Mututa (Civil Tech.I);

Sylidion Tuluhungwa – (Civil Tech.II);

Nancy Thiebruc Mrema – (Civil Tech.II) – Ajira mpya (Ameripoti);

Hadija Saidi Mbupu – (Civil Tech.II) – Ajira mpya (Ameripoti)



Eng. Jimmy B. Njau

KAIMU MKUU WA IDARA YA UJENZI

HALMASHAURI YA WILAYA YA

KARAGWE












Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.