• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

Imewekwa: April 22nd, 2025

KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

Kamati ya Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe leo Aprili 22, 2025 imefanya Kikao cha kawaida cha Kujadili taarifa za utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha Robo ya Tatu kuanzia mwezi Januari hadi Machi 2025.

Akifungua kikao hicho kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Dr. Agness A. Mwaifuge amesema kuwa kikao hichi ni muhimu sana kwani Halmashauri yetu inaendelea kutekeleza maagizo ya upatikanaji wa lishe kwa vitendo, Serikali ya awamu ya sita imeendelea kulipa umuhimu wa kipekee suala la lishe bora katika jamii.


Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi; Asnath Thobias amesema kuwa Divisheni ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii imeendelea kutekeleza afua za Lishe na kufanikiwa kutoa elimu kwa Wananchi kupitia vikao mbalimbali kuhusu masuala ya lishe bora na ulaji wa mlo kamili hasa kupitia mazao yetu tunayolima.


" Katika kipindi cha robo ya tatu, tumefanikiwa kutekeleza afua za lishe kwa kutumia kadi alama, ambapo tumepima viashiria mbalimbali ikiwemo kiashiria cha upimaji wa utapiamlo, kiashiria cha utoaji wa chakula Shuleni angalau mlo mmoja, kiashiria cha usimamizi shirikishi na kwa hili tumefanikiwa sana kama kadi alama inavyoonesha". Alisema.


Sambamba na hilo Idara mbalimbali ziliwasiliisha taarifa za utekelezaji wa Afua za lishe kwa kipindi cha robo ya tatu ikiwemo idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Idara ya Elimu Sekondari, Idara ya Maendeleo ya Jamii, Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, TASAF pamoja na mashirika binafsi ikiwemo Redio Karagwe, Redio Fadeco, CBIDO, RUWASA na Humuliza pamoja na mashirika ya Dini ya Kiislamu na Kikristo.


Aidha, katika kikao hicho wajumbe walitoa ushauri juu ya masuala ya Lishe bora na kuzingatia usafi pamoja na kukubaliana kuendelea kutoa hamasa na elimu kwa wananchi juu ya masuala ya lishe ili kuendelea kuboresha hali ya lishe na kupitia mabonanza mbalimbali yaendelee kutoa elimu ya lishe ili kila mwananchi apate elimu hiyo itakayosaidia kuondoka na suala la lishe duni na utapiamlo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.