• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KARAGWE DC YAJIPANGA VYEMA KUUWAKILISHA MKOA WA KAGERA KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA TAIFA.

Imewekwa: May 23rd, 2025

KARAGWE DC YAJIPANGA KUUWAKILISHA MKOA WA KAGERA KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA TAIFA.


Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha inauwakilisha mkoa wa Kagera kwenye Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) ngazi ya Taifa  yanayotarajiwa kufanyika mkoa wa Iringa kuanzia  Juni 07, 2025 hadi Juni 18,2025.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo ngazi ya Wilaya yaliyofanyika jana tarahe 22/05/2025 katika Uwanja wa Michezo wa Bashungwa, Afisa Michezo wa Wilaya ya Karagwe ndg. George Sebastian amesema Wanafunzi wamefanya maandalizi ya kutosha na ana imani kubwa Wilaya ya Karagwe itauwakilisha Mkoa wa Kagera.

" Kuanzia Mei 26 hadi 29,2025 Wilaya yetu itashiriki mashindano ya UMITASHUMTA ngazi ya mkoa yatakayofanyika Wilaya ya Muleba, Chuo cha Uwalimu Katoke. Niwahakikishie tutashinda vikombe vingi na matarajio yetu ni kuuwakilisha mkoa wa Kagera ngazi ya Taifa" Alisisitiza ndg Sebastian.

Sambamba na hilo, ndg. Sebastian ameongeza kuwa mwaka 2024 Timu ya  mpira wa wavu ya Wilaya ya Karagwe ilifanikiwa kuuwakilisha Mkoa wa Kagera kwenye Mashindano hayo ngazi ya Taifa kwahivyo hana shaka na maandalizi ya mwaka huu katika kuhakikisha karibu timu zote zinazoshiriki kwenye ngazi ya mkoa kupata nafasi ya kwenda ngazi ya Taifa.

Aidha, Michezo itakayoshindanishwa ngazi ya Mkoa na Taifa itahusisha Mpira  wa miguu kwa Wasichana na Wavulana, Mpira wa wavu kwa Wavulana, Mpira wa Netiboli, Mpira wa Mikono kwa Wavulana, Riadha kwa Wavulana na Wasichana, Kwaya, Ngoma na Mziki wa Kizazi kipya.

Hatahivyo, Mashindano ya UMITASHUMTA kwa mwaka 2025 yamebeba kauli mbiu isemayo " Viongozi Bora ni Msingi wa Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo. Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu".

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • KARAGWE DC YAJIPANGA VYEMA KUUWAKILISHA MKOA WA KAGERA KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA TAIFA.

    May 23, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.