• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Miradi Mbalimbali Iliyotekelezwa kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021.

Start Date: 2020-07-01
End Date: 2021-07-01

OFISI YA RAIS   

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

Kuh : TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO  KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU   JANUARI HADI MACHI 2021                                                              MWAKA  WA FEDHA   2020/2021,

 

Mh. Mwenyekiti 

 

BARAZA LA MADIWANI  

             

Naomba kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi kwa kipindi cha robo ya tatu kwa mwaka 2020/2021 kama ifuatavyo:

 

UTANGULIZI 

Kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 Kiasi cha Shs. 11,243,063,585/= kiliidhinishwa ili kutekeleza  Miradi ya Maendeleo, kati ya fedha  hizo Shs. 7,002,528,927/=  kutoka  serikali kuu pamoja na wadau wa maendeleo, Shs.899,197,574.00  kutokana na Mapato ya ndani ,zikiwemo pamoja na (asilimia  4/4/2) fedha za Mfuko wa   Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu; na nguvu za wananchi (michango, nguvukazi na vifaa vya mazingira vya ujenzi) zilikisiwa kuwa ni Shs.230,000,000/= kwa wastani wa Shs.10m/- kwa kila Kata

Aidha, mashirika yasiyo ya serikali yaliahidi kuchangia Shs. 3,111,337,084/= 

 

MAPOKEZI YA FEDHA

 

Mh. Mwenyekiti,

 

Hadi kufikia mwezi Machi mwishoni    kiasi cha Shs. 3,206,808,444/= sawa na asilimia   45.80.  zilikuwa zimepatikana kutoka serikali kuu na wadau wa maendeleo

Mchango wa Halmashauri  Shs. 462,835,820 sawa na asilimia    51.47, na nguvu na michango ya wananchi imekadiriwa kufikia Shs. 130,000,000  sawa na asilimia    56.52

Aidha,Halmashauri imechangiwa katika sekta ya elimu na CBIDO kiasi cha                                          Shs.18,499,641/=  ambapo kwa ajili ya ujenzi wa darasa la watu maalum                                         SM    Lukole . Ambapo Halmashauri imekubaliana na CBIDO kuchangia madawati kiti na meza ya walimu. Pia Jambo for Development wamechangia  kiasi cha Shs.50,838,732  katika ujenzi wa vyoo 14 ,chumba cha kujihifadhia wasichana na Tenki la  maji lenye ujazo wa  Lita 150,000 katika Shule ya Msingi Ahakishaka                                     ( Shs.25,419,366 mchango wa Halmashauri) na Kiasi cha Shs.52 800,000  katika ujenzi wa Madarasa 4 shule ya Msingi Matara  ( Shs.26,400,000 mchango wa Halmashauri )

 

JEDWALI. NAMBA 1: 

MAPOKEZI YA    FEDHA   KATIKA BAJETI  YA MWAKA 2020/2021

NA

CHANZO CHA FEDHA

ZILIZOIDHINISHWA  2020/2021  SHS.

ZILIZOPATIKANA  HADI  MACHI    2021                          SHS  

ASILIMIA 

1

TASAF

1,806,968,000

982,140,210

54.35

2

MFUKO WA JIMBO

70,273,000

70,272,000

100.00

3

MIUNDOMBINU YA VYOO KATIKA SHULE ZA MSINGI Swash

289,800,000

HAZIJATOLEWA

0.00

4

UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KTK SHULE ZA MSINGI

200,000,000

HAZIJATOLEWA

0.00

5

UKAMILISHAJI WA VYUMBA VYA MADARASA KATIKA SHULE ZA MSINGI 9

112,517,172

112,517,172

100.00

6

UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KTK SHULE  ZA SEKONDARI

200,000,000

HAZIJATOLEWA

0.00

7

UKAMILISHAJI WA UJENZI WA VYUMBA VYA  MAABARA 7   KATIKA SHULE ZA SEKONDARI

210,000,000

210,000,000

100.00

8

ELIMU BILA MALIPO  SEKONDARI na  MSINGI

1,449,391,500

1,000,426,098

69.02

9

MFUKO WA AFYA WA PAMOJA (BASKET FUND)

834,800,000

417,194,500

49.98

10

AFYA (Management Development For Health)

678,779,255

484,530,464

71.38

11

UJENZI WA ZAHANATI  3

150,000,000

150,000,000

100

12

MANUNUZI YA  VIFAATIBA

500,000,000

HAZIJATOLEWA

0.00

13

UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA

500,000,000

500,000,000

100

 

JUMLA NDOGO

7,002,528,927

3,206,808,444

45.80

14

MAPATO YA NDANI   - MIRADI

899,197,574

462,835,820

51.47

15

MCHANGO WA JAMII

230,000,000

130,000,000

56.52

 

JUMLA NDOGO

1,129,197,574

592,835,820

52.50

16

WADAU  WA MAENDELEO na Mashirika

3,111,337,084

122,135,373

3.93

 

JUMLA NDOGO

3,111,337,084

122,135,373

3.93

 

JUMLA KUU

11,243,063,585

3,921,779,637

34.88

 

Mhe. Mwenyekiti,

 

Pamoja na taarifa hii, majedwali yanayoonesha   hatua za   utekelezaji  miradi ya  mwaka 2020/2021 na utekelezaji wa  miradi ya  mwaka 2019/2020 iliyoendelea kutekelezwa kwa mwaka 2020/2021 yameambatishwa. 

Naomba kuwasilisha.

 G.M. Kitonka

MKURUGENZI MTENDAJI (W) 


JEDWALI NAMBA 2:     UTEKELEZAJI    MIRADI – KWA MAPATO YA NDANI 40%     KWA   MWAKA  2020/2021

 

S/N

JINA LA MRADI

MAHALI MRADI ULIPO

FEDHA ZILIZOTENGWA SHS 

FEDHA ZILIZOTOLEWA SHS 

FEDHA ZILIZOTUMIKA SHS 

HALI YA UTEKELEZAJI

MAELEZO

 

1

2

3

4

5

6

7

1
Mchango katika miradi -Mikopo kwa vikundi vya maendeleo -wanawake

81,843,257.60

172,936,804.00


Vikundi 86 Vimepatiwa Mikopo hii  
Kufikia Robo ya 3 Kiasi cha     Shs.127,428,563.38 kimewekwa kwenye Akaunti ya Mfuko huu
2
Mchango katika miradi- Mikopo kwa  vikundi vya  maendeleo -vijana

85,000,000.00

3
Mchango katika miradi- Mikopo kwa vikundi vya maendeleo – watu wenye ulemavu

40,921,628.80

 
JUMLA NDOGO
 

204,608,144

 172,936,804.00
 
 
 
4
Miradi ya kudhibiti UKIMWI na watoto walio katika Mazingira Hatarishi

5,000,000



Fedha haijapatikana.


JUMLA NDOGO


289,608,144.00

172,936,804.00




5
Manunuzi ya gari (Toyota Pick up double  cabin) 1 kwa ajili ya kufuatilia Mapato

            

75,287,625



Fedha zinatengwa kila mwezi .
Manunuzi yanafanyika Mwaka huu wa fedha
6
Kufanya mafunzo ya    Planrep  kwa wakuu wa Idara na wasaidizi wao

5,577,600



Mafunzo yalifanyika.

7
Ukarabati na utunzaji wa majengo ya Halmashauri awamu ya kwanza kwa kupiga rangi mabati ,kuweka Tiles   pamoja na kuweka Gutters ili kuvuna maji ya mvua

25,000,000

24,455,550

24,455,550

Ukarabati wa Rest House  na  kubadilisha Vitanda , kuweka Kiyoyozi , Fire Extinguishers, kununua Television na Kingamuzi na Generata. Pamoja na kukarabati nyumba ya Mkuu wa Wilaya umefanyika.
Kifungu hiki kiliidhinishwa na Kikao cha CMT kitumike kwa shughuli hii
8
Shughuli za Usimamizi, ufuatiliaji wa miradi ,uandaaji na uwasilishaji wa taarifa

12,000,000

6,640,000

6,640,000

Shughuli zimefanyia na Taarifa kuwasilishwa kwa wakati

9
Uendelezaji wa Stendi za   Kishao na Kayanga

70,959,205
19,249,816
19,249,816
Ujenzi wa Choo ,mabafu pamoja na vyoo vya watu maalum na uwekaji wa maji  katika Stendi ya Kayanga umekamilika  na kinatumika
Ujenzi wa Kibanda cha Mkusanya Mapato   utafanyika  
10
Ukamilishaji wa ujenzi wa Ofisi za Vijiji vya Muguluka, Nyakasimbi Ahakishaka,Ahamulama,Muungano na Bukangara

28,000,000.00



Fedha hazijapatikana

11

Kugharamia upatikanaji wa Hati katika maeneo yaliyopimwa  ya miradi Mkakati Mapato

10,000,000.00

5,500,000.00

5,500,000.00

Maeneo yaliyopimwa Kihanga  eneo la Viwanda ,Kituntu, Rumanyika,Nyaishozi, na Hospitali ya Wilaya
Upimaji  ulishirikishawataalamu wa Mkoa Wilaya na Vijana wa Chuo Kikuuu cha Ardhi
 
 JUMLA NDOGO
226,824,430
226,824,430

55,845,366.00 
 
 
12
 Kuwezesha Mfumo wa TEHAMA  pamoja na kununua na kufunga vifaa

18,000,000.00



Kazi haijafanyika

JUMLA NDOGO

18,000,000
 
 
 
 
13
Kuchangia ujenzi wa   madarasa katika Shule  ya  sekondari Bisheshe, Rugera, Kigarama na Kanono

65,000,000.00
70,100,000
70,100,000
Ujenzi wa madarasa katika shule za Sekondari za Bisheshe, Kayanga, Kiruruma, Nono, Nyakahanga na Rugera upo katika hatua za ukamilishaji
Fedha hizi zilitolewa ili kukabiliana na ufaulu mkubwa wa darasa la Saba
14
Kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa miundombinu iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi    katika shule za Msingi (Shule ya Msingi Kabale nyumba ya Mwalimu,Rwentuhe sm Ofisi ya walimu,na Mtara SM darasa 1)

65,000,000.00
55,719,000

55,719,000

Fedha zimetolewa kuchangia ujenzi wa Kisima Shule ya Msingi Rwamugurusi Shs 3.9m. mradi ulifadhiliwa na MAVUNO. Shs 26.4m Matara SM Na Shs.25.4m Ahakishaka  
Miradi ilichangiwa na  MAVUNO pamoja na Jambo For Development
15
Kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa , vyoo na Ofisi katika Shule za Msingi Shikizi mpya tano za  Miriro, Mushasha, Kajunju, Kigasha na Nyakabila

20,000,000.00
5,200,000.00
5,200,000.00
Uezekaji wa madarasa na ununuaji wa Kingamuzi umefanyika katika Shule shikizi  Mirilo
Fedha hizi zilitolewa  kwa maagizo ya BARAZA la Wah. Madiwani.
 
JUMLA NDOGO
 

150,000,000

131,019,000

131,019,000

 
 
16
Kuchangia ujenzi wa Zahanati Igurwa, Nyarugando,Kituntu  na Ihanda

65,000,000.00

   39,528,101

39,528,101

Utekelezaji unaendelea kwa kushirikisha jamii
Kifungu hiki kimetumika pia  kuchangia ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

Huduma za lishe kwa watoto walio chini ya miaka 5

80,765,000

19,447,000

19,447,000

Utekelezaji wa shughuli za Lishe unaendelea.


JUMLA NDOGO

145,765,000

58,975,101

58,975,101

 
 
 
MIRADI YA KILIMO






17
Kununua na kusambaza miche ya Kahawa

20,000,000

10,000,000.00

10,000,000.00

Miche ya Kahawa imenunuliwa na kugawiwa kwa wakulima.

18
Kulipa deni la Kahawa

570,000.00





19
Kuwezesha shughuli za maonesho ya nanenane

9,800,000



Maonesho yalifanyika.

20
Kununua na kuwapatia wakulima mbegu za maharage

1,800,000





21
Kuwezesha kufanyika kwa mikutano na ufuatiliaji wa shughuli za ushirika

4,830,000





22
Kuendeleza Kilimo cha umwagiliaji Mwisa

37,000,000

20,000,000

20,000,000

Ujenzi wa mifereji ya  umwagiliaji  Mwisa unaendelea. Chini ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
Kifungu hiki kimetumika kugharamia chanjo

JUMLA NDOGO
 

74,000,000

 30,000,000

 30,000,000

 
 
 
MIRADI YA MIFUGO






23
Kuwezesha Ujenzi wa Uzio na miundombinu katika  mnada wa Nyaishozi,

15,000,000

3,034,650

3,034,650

Ukarabati wa miundombinu katika mnada wa Kihanga Ahakameya pamoja na kununua Viti na meza umefanyika

24
Ujenzi wa vyoo 2 katika minada ya Nyaishozi na Rukole

10,000,000

1,025,000

1,025,000

Ukarabati wa  choo  katika mnada wa Nyaishozi umefanyika

25
Ujenzi wa miamba 5 ya kuchinjia wanyama katika maeneo ya Nyakasimbi,Rwambaizi, Kihanga, Nyaishozi  na Nyakaiga  

10,000,000




Fedha hazijatolewa
26
Ukarabati wa machinjio ya Kayanga na Omurushaka

10,000,000




Fedha hazijatolewa
27
Ujenzi wa  vibanda   2   vya  wakusanya Ushuru  katika beria za   Nyakasimbi   na  Kihanga    

2,000,000

1,400,000

1,400,000

Vibanda vimesimikwa

28
Uzuiaji na uondoshaji wa magonjwa ya mifugo kwa kutoa chanjo kwa wanyama

10,000,000

10,000,000

10,000,000

Chanjo ya Mifugo ilifanyika

29
Ununuzi wa pikipiki 2 kwa ajili ya kazi za chanjo

5,000,000




Fedha hazijatolewa
 
JUMLA NDOGO

62,000,000

15,459,650

15,459,650


 
31
Kulipa fidia Awamu ya kwanza katika eneo la Dampo Nyakahanga.

13,000,000




Fedha hazijatolewa
 
JUMLA NDOGO
 

13,000,000

 
 
 
 
 
JUMLA KUU FEDHA ZA NDANI
 

899,197,574

 
 
 
 
 
Mchango wa Wananchi

230,000,000

130,000,000
130,000,000
Wananchi wanaendelea kuchangia katika shughuli za maendeleo .
 

JUMLA KUU WANANCHI

230,000,000
130,000,000
130,000,000


 
          
   JEDWALI NAMBA    3:   UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA FEDHA ZA RUZUKU YA SERIKALI NA WADAU WA MAENDELEO
                                             3.1 MIRADI YA ELIMU MSINGI  ( MRADI WA SWASH)
1
Ujenzi wa Miundondombinu ya vyoo katika Shule za Msingi za   Bukangara,Bwera,Nyarugando,  Omukimeya, Kasheshe, Kayanga,Kanono,Katwe,Bujuruga,Kyanyamisa na Nyakahanga
 Wilaya Karagwe
289,800,000


Andiko limewasilishwa Wizara ya Fedha kuomba fedha hizi, Fedha Hazijatolewa.
Kila Shule imetengewa Shs.26,345,454.55 
2
Kuchangia Ujenzi wa vyumba 10 vya madarasa katika za  Msingi za Ahamulama,Kafunjo,Kambarage,Kiregete -2 ,Masheli - 2 ,Muchuba,Omurulama Na Rumanyika

200,000,000




3
Kuchangia ukamilishaji wa Ujenzi wa vyumba vya madarasa katika  9 za  Msingi za Nyakagongo -2 , Kijumbura- 2 ,Mulamba,Rumanyika,Chamchuzi,Kibona na Masheli.

112,517,172

112,517,172


Fedha imetolewa kwa ajili ya ukamilishaji wa maboma, ukarabati unaendelea.
Kila chumba kimetengewa Shs.12,501,908

JUMLA NDOGO

602,317,172

 
 
 
 
                3.2      UTEKELEZAJI MIRADI YA ELIMU SEKONDARI  
4
Kuchangia ukamilishaji wa Ujenzi wa maabara 7  katika Shule za Sekondari  za Nono, Nyabiyonza,Rugu,Ruicho,Ndama na Chakaruru

210,000,000

210,000,000

15,547,500

Ujenzi upo katika hatua za ukusanyaji wa Vifaa vya asili,upauaji kuta,ufungaji wa Gypsum na utengezaji wa meza katika vyumba vya Maabara.

5
Kuchangia ukamilishaji wa Ujenzi wa vyumba vya madarasa katika za  Sekondari za    Bugene, Kanono, Kayanga (2) ,Kituntu,Nono,Rugera (2) na Ruicho

200,000,000




 
JUMLA NDOGO
 
410,000,000
 
 
 
 
               3.3 UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA  
6
Kuchangia   ukamilisahi   ujenzi wa wadi 3 Hospitali ya Wilaya.
 
500,000,000
 500,000,000
 
Kiasi cha Tsh. 500Mil. kimetumwa katika Akaunti ya Halmashauri na maandalizi ya ujenzi yanaendelea.
 
7
Kuchangia ujenzi wa Zahanati za Igurwa, Nyarugando na Kafunjo.

150,000,000
150,000,000
 
 Kiasi cha Ths.50Mil. kimepelekwa kwa kila Zahanati kwa Utekelezaji.
 
8
Kuwezesha manunuzi ya Vifaatiba    katika  Hospitali ya Wilaya

500,000,000

-

-

Fedha hazijapokelewa

 
JUMLA NDOGO
 
1,150,000,000
 
 
 
 
 
Angalizo: Kwa miradi iliyotajwa hapo juu - Andiko na mikataba ya mafundi iliwasilishwa Wizara ya Fedha kuomba fedha hizi ambazo zinaendelea kutolewa.
 
   3.4  MFUKO WA JIMBO
9
Mfuko wa Kuchochea utekelezaji wa  Miradi katika JIMBO( CCDF)
 
70,272,000
 70,272,000

 69,382,000

Utekelezaji wa shughuli za miradi 18 iliyopatiwa fedha ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.
Kamati ya mfuko wa Jimbo itafuatilia utekelezaji wa shughuli za miradi.
 
JUMLA NDOGO
 
70,272,000
 70,272,000

 69,382,000


 
9
Uwezeshaji wa Shughuli za kuondoa Umaskini katika Kaya TASAF
Kaya zilizohakikiwa  katika Vijiji

1,806,968,000

982,140,210

982,140,210

Kaya  zilizohakikiwa 7,525    zimepatiwa ruzuku
 
 
JUMLA NDOGO
 

1,806,968,000

982,140,210

 982,140,210

 
 
10
Elimu bila Malipo Msingi
Shule za Msingi

860,139,000

 

 

Shughuli za uendeshaji wa Shule zimefanyika
 
11
Elimu bila Malipo Sekondari
Shule za Sekondari

589,252,500

 

 

Shughuli za uendeshaji wa Shule zimefanyika
 
 
JUMLA ELIMU BILA MALIPO

1,449,391,500
 1,000,426,097
 1,000,426,097
 .
 


JEDWALI NAMABA 4:         MIRADI YA MWAKA 2019/2020  ILIYOENDELEA KUTEKELEZWA KWA MWAKA 2020/2021

S/N

JINA LA MRADI

MAHALI MRADI ULIPO

FEDHA ZILIZOTENGWA    SHS

FEDHA ZILIZOTOLEWA SHS

FEDHA ZILIZOTUMIKA                  SHS

HALI YA UTEKELEZAJI

MAELEZO


Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

1,800,000,000
1,800,000,000

Ufungaji wa miundombinu ya Maji Umekamilika
Katika utekelezaji wa mradi huu  Halmashauri imekwishachangia kiasi cha Shs.135,358,444kutoka vyanzo vya ndani

Ujenzi wa Miundombinu ya vyoo katika shule za msingi 7 za Rumanyika, Ihanda, Katembe,Suzana,Karagwe,Kayungu na Nyakayanja.

175,778,504
175,778,504

Mradi huu katika shule zote haujakamilika, Vyoo vimeezekwa na kuwekewa milango
Bado kazi za kuweka miundombinu ya maji. Wananchi hawakuchangia vifaa vya mazingira. Ombi la Shs. Milioni 34 limewasilishwa Halmashauri kwa ajili ya kukamilisha mradi huu.

 
Ujenzi wa Vyoo na Uwekaji  wa miundombinu ya Maji katika kituo cha Afya Kayanga na Zahanati 

Kijumbula,
Bweranyange

22,000,000

22,000,000


Uwekaji wa miundombinu ya maji unaendelea.


Ruhita
Rugu

22,000,000

22,000,000


Kazi ya Ujenzi wa choo cha wagonjwa na Uwekaji wa miundombinu ya maji imekamilika


Chanika

22,000,000

22,000,000


Mradi huu upop katika hatua ya ukamilishaji mfumo wa maji na uwekaji wa vigae.


Chonyonyo.

22,000,000

22,000,000


Ujenzi wa kuta na uezekaji na uwekaji wa vigae umekamilika, ukarabati wa wodi ya wazazi haujaanza.


Kakuraijo

22,000,000

22,000,000


Kazi ya Ujenzi wa choo cha wagonjwa na Uwekaji wa miundombinu ya maji na ukarabati wa MCH  imekamilika


Bweranyange,

22,000,000

22,000,000


Ujenzi wa kuta na uwezekaji wa bati umekamilika,uwekaji wa madadirisha na matenki ya maji taka unaendelea.


Nyakagoye

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.