• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WANANCHI KARAGWE WATAKIWA KUFUATA MAELEKEZO YA WATAALAM WA AFYA.

Imewekwa: November 2nd, 2018

Na Geofrey A.Kazaula

Wananchi Wilayani Karagwe wameshauriwa kufuata maelekezo ya wataalam wa afya ili kuepuka vifo vya akina mama na watoto.

Hayo yamejiri katika kikao cha Bodi ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kilicho kaa kufanya mapitio ya kazi mbalimbali zilizotekelezwa na Idara ya Afya pamoja na wadau mbalimbali katika kipindi cha Robo ya kwanza 2018/2019.

Sababu mbalimbali zilizotajwa kusababisha vifo vya akina mama na watoto ni pamoja na baadhi ya wananchi kutofuata maelekezo ya wataalam wa Afya  ikiwemo kuhudhuria Kliniki na kufuata kanuni za lishe bora ili kupunguza matatizo ya ki afya likiwemo tatizo la udumavu.

Akiafanua zaidi, Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Karawge Dr, Christopher   Mwasongela amesema kuwa Idara kupitia wataalam wake imekuwa ikitoa maelekezo mara kwa mara na wanaofuata maelekezo ya kitaalam maranyingi wamekuwa hawakumbwi na changamoto za kiafya.

’’ Tumekuwa tukitoa maelekezo mara kwa mara hasa kuhusu afya ya mama na mtoto na maranyingi wanaofuata maelekezo yetu hawakumbwi na changamoto hizo na hujifungua salama watoto wakiwa na afya njema’’ alisema mtaalam huyo.

Katika hatua nyingine wananchi wame aswa kujitokeza mara kwa mara kuchangia damu kwani hakuna njia nyingine ya kupata damu bila watu kuchangia.

Akifafanua juu ya changamoto ya upatikanaji wa damu, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Nyakahanga Dr Andrew Cesari  amesesma kuwa mahitaji ya damu bado ni makubwa licha ya wananchi kusuasua katika uchangiaji wa damu.

’’Tuna hitaji kiasi kikubwa cha damu licha ya wananchi kusuasua katika kuchangia  kwani wagonjwa wanao taka kuongezewa damu niwengi hasa pale inapotokea ajali’’alisema mtaalam huyo.

Kwaupande wao, wajumbe wa bodi hiyo wameshauri kuwa elimu iendelee kutolewa kwa umma juu ya uchangiaji wa damu ikiwa ni pamoja na kuelimisha watu mara kwa mara  kufuata kanuni za afya bora na maelekezo ya wataalam ili kupunguza changamoto za ki afya katika Wilaya ya Karagwe .

Bodi hiyo pia imepitia mpango na Bajeti ya Idara ya afya  kwa mwaka wa fedha 2018/2019  ambapo kwa mujibu wa Katibu wa Afya wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Ndg, Josephat Nkebukwa, bajeti hiyo imelenga kuinua kiwango cha utoaji wa huduma ya afya bora kwa wananchi wa Wilaya ya Karagwe kwa kiwango cha juu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.