• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

Imewekwa: March 17th, 2025

WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.


Walengwa wa Mfuko wa kusaidia kaya Masikini (TASAF) wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe wamenufaika na vikundi vya huduma ndogo za kifedha  walizoanzisha kuanzia mwaka 2022 na 2023 kufuatia maelekezo ya Serikali.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti wakati walipotembelewa na Maafisa Wafuatialiaji, Waratibu na Wahasibu wa Mfuko wa TASAF Mkoa wa Kagera, Walengwa wa mfuko huo walieleza namna mbalimbali walivyofaidika na vikundi vya kuweka akiba na kukopeshana walivyoanzisha ikiwemo kusomesha watoto shule, kuanza kufuga wanyama wadogo wadogo wakiwemo mbuzi, kuku, nguruwe pamoja na kurekebisha na kujenga makazi yao.

Aidha, Meneja Usimamizi na Ufuatiliaji kutoka Makao makuu ya TASAF Bi. Salome Mwakigomba amewapongeza  walengwa hao kwa kuendelea kuvitumia vikundi hivyo kufanya maendeleo na kuwasisitiza kupendana wao kwa wao ili waweze kuinuana  na kuchangiana kwenye biashara walizoanzisha.

Naye, Mratibu wa TASAF mkoa wa Kagera  Bw. Efraz Mkama amesema kuwa Mkoa wa Kagera kwa mwaka 2024 ulipokea kiasi cha  Billioni 118 na kuhudumia vijiji 728 ambapo kupitia fedha hizo Walengwa wameweza kutengeneza vikundi vya kununua hisa na kukopeshana, biashara ndogondogo, kununua vyakula pamoja na kununua sare za watoto za shule.

Kwa niaba ya vikundi vilivyoanzishwa, Kikundi cha upendo kilichoanzishwa mwaka 2022 kiliwasilisha taarifa ya kikundi hicho ambayo ilisomwa na Bw.Faustine Kushekwa ilieleza miradi inayofanywa na Walengwa ikiwemo kufuga wanyama wanyama wadogo, kuweka akiba na kukopeshana

 Pia taarifa ilieleza kuwa Novemba kikundi hicho kitagawana faida.

Kwa upande wake Mnufaika wa vikundi hivyo ambae pia ni Mlengwa wa TASAF Bi. Adelphia Adolf ameushukuru mfuko wa TASAF kwa kuanzisha vikundi hivyo kwasababu vimewasaidia kuweka akiba ambazo wameweza kuzitumia kufanya maendeleo.

Hata hivyo kwa sasa, Mfuko wa TASAF kwa Wilaya ya Karagwe unahudumia Vijiji 84 na Kaya 9123.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.