• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WAKULIMA KARAGWE, WAASWA KUFANYA TAFITI JUU YA ARDHI KABALA KUPANDA MAZAO.

Imewekwa: October 23rd, 2018

Na , Frank I . Ruhinda.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari  Nyakasimbi  na Shule ya Sekondari Karagwe  wametoa  elimu kwa wakulima  juu ya namna ya kupata mazao ya kutosha kwa kuwataka kufanya utafiti wa kutosha kwenye ardhi na udongo kabla ya kupanda mazao .

Kwa mujibu wa wanafunzi hao, tabia ya udongo hutofautiana na kila udongo unafaa kwa mazao Fulani hivyo wakulima wameshauriwa kutambua aina ya udongo kabla ya kupanda mazao  ili waweze kupata mavuno ya kutosha.

Hayo yamejiri katika kilele cha wiki ya elimu iliyo adhimishwa katika shule ya Msingi ya Mtakatifu Peter   Clavery inayomilikiwa na Jimbo Katoliki la Kayanga Wilayani Karagwe.

Kwaupande wake Mgeni Rasmi ambaye ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Karagwe  ndg, Innocent Nsena amewapongeza wanafunzi hao kwa kutoa elimu ya Kilimo kwa wakulima.

‘’ Nichukue fursa hii kuwapongeza wanafunzi wetu kwa kazi nzuri hasa kuwakumbusha wakulima kulima kwa kuzingatia utafiti ili kufikia malengo ya Serikali ya awamu ya tano ya  Uchumi wa Viwanda’’ Alisema kiongozi huyo.

Aidha, aliagiza kuwa kiandaliwe kikao cha pamoja kati ya Shule zilizofanya vizuri ili kupitia mikakati iliyopelekea kufanya vizuri  na kuunda mpango Mkakati wa Wilaya ya Karagwe.

Kuhusu makakati wa kutengeneza madawati, Kiongozi huyo aliwataka viongozi, wataalamu na wadau mbalimbali kuunga mkono jitihada za kutengeneza madawati na kuwezesha wanafunzi kusoma vizuri.

Katika kilele hicho cha Wiki ya Elimu , Shule mbambali zilizofanya vizuri Wilayani Karagwe  zilipewa vyeti kama ishara ya kutambua jitihada zilizofanywa na Shule hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.