• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KAARAGWE WAASWA KUWA MABALOZI WAZURI WA KUFUATA KANUNI NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA

Imewekwa: January 13th, 2025

WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KAARAGWE WAASWA KUWA MABALOZI WAZURI WA KUFUATA KANUNI NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wilaya Bi. Happiness J. Msanga amewaasa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kuwa mabalozi wazuri wa kufuata kanuni na taratibu katika utendaji kazi ikiwemo kutokujiusisha na makundi ya kisiasa hasa tunapoelekea kipindi cha uchaguzi mkuu 2025 ili kuwapa motisha Wafanyakazi wenzao waliowawakilisha katika kuleta chachu ya maendeleo Wilayani humo.

Bi.Happiness ametoa wito huo wakati wa kikao cha Bajeti cha Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kilichofanyika mapema leo tarehe 13/1/2024 katika Ukumbi wa Halmashauri (Angaza) na kuhudhuriwa na Wajumbe kutoka idara na vitengo vyote vya Halmashauri pamoja na Wawakilishi kutoka vyama vya wafanyakazi kama vile TUGHE,CHAKUHAWATA, CWT na TALGWU.

Akiwasilisha rasimu ya bajeti na mpango wa maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa mwaka 2025/2026 Ndg; Cyliacus Felician amesema kuwa Halmashauri imepanga kukusanya na kutumia jumla ya Sh. Bilioni 54,07 kwa mwaka huu wa fedha kwa matumizi mbalimbali ikiwemo ukamilishaji wa zahanati 8 zilizojengwa na wananchi na Uendelezaji wa miradi itakayoiongezea Halmashauri mapato.

Wajumbe walipata nafasi ya kuuliza na kutoa mapendekezo yao kufuatia rasimu ya bajeti iliyowasilishwa ambapo waligusia maswala ya namna ya kuwasaidia wanaoishi na virusi vya ukimwi kazini, ujenzi wa miundo mbinu ya maji kwenye vyoo vya shule ya msingi na sekondari, elimu jumuishi, Ushiriki wa watumishi kwenye michezo , madai ya likizo, kubadilishiwa miundo pamoja na malipo ya wafanyakazi waliohamishwa.  

Aidha, Mwenyekiti wa kikao hicho Bi. Happiness Msanga alitoa majibu ya maswali yalioulizwa pamoja na kupokea mapendekezo yaliyowasilishwa kutoka kwa wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi na kuahidi kufanyia utekelezaji yanayotekelezeka kwa wakati.

Aidha, Bi.Happiness amewataka watumishi kuhakikisha wanajaza taarifa zao kwa usahihi ili kurahisisha zoezi la uhakiki wa taarifa pamoja na kuwahisha malipo. Pia ametumia nafasi hiyo kuwasisitiza Watumishi kushiriki mambo ya maendeleo ya kijamii kwenye sehemu wanazoishi ili kuongeza nguvu na morali ya wananchi katika ushiriki wao kwenye shughuli za maendeleo.

Hatahivyo, Bi Happiness amewasisitiza watumishi kuacha kutengeneza makundi ya kiutumishi ya kisiasa na kujihusisha na shughuli za siasa hasa tunapoelekea kipindi cha uchaguzi kwa mwaka huu 2025. Ameongeza kuwa, Watumishi wote wanapaswa kufuata miongozo na maelekezo ya ushiriki wa uchaguzi na si vinginevyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.