• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Vijana, Wanawake Karagwe wakopeshwa

Imewekwa: July 1st, 2022
  • Vijana, Wanawake Karagwe wakopeshwa Mil.293

Halmashauri ya wilaya ya Karagwe imeendelea kuneemesha vikundi vya wajasiriamali kwa kuwapatia mkopo wa shilingi 293,000,000. Mkopo huo umetolewa kwa vikundi 60 vya wanawake, vijana na walemavu kwa lengo la kuwasaidia wajasiriamali hao kukuza mitaji yao ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi mfano wa wa hudi kwa wanavikundi hao iliyofanyika  kwenye ukumbi wa Angaza Julai 1, 2022. Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Mhe. Mwl.Julieth Binyura amewataka wanavikundi kutumia mkopo waliopewa kwa weledi na maarifa ya kutosha.

“Ili mkopo uwe na tija kwenye familia zenu, ni lazima muangalie shughuli mnazozifanya na kutafakari kama shughuli hizo zina faida kiuchumi au la, ili muweze kutafuta shughuli mbadala”. Alisema Mhe. Binyura.

Mhe. Binyura ameendelea kusisitiza kwamba wakati tukielekea kwenye biashara za kitaifa na Kimataifa, wajasiriamali  hao wajipange kwa ajili ya kupata wateja wa kigeni kwani tupo mpakani mwa nchi za Uganda na Rwanda.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Karagwe , Michael Nzyungu amewakumbusha wajasiriamali hao kutambua kuwa fedha hizo wamekopeshwa na wanatakiwa kuzirejesha na kubakia na faida . Kumekuwa na baadhi ya wanakikundi wanaokopa fedha za kufanyia biashara lakini wanazitumia kinyume na malengo ya mikopo hiyo.

Awali akisoma taarifa ya mikopo, Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii, Bi. Edina Kabyazi amesema kuwa , kwa kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni 2022, Halmashauri imetowa mkopo wa kiasi  cha shilingi 293,000,000 kwa vikundi  vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu vipatavyo 60. Ufuatiliaji wa mikopo unaendelea na kwa mwezi aprili  hadi juni 2022, jumla ya shilingi 111,448,650 zimerejeshwa. Pamoja na marejesho hayo, kiasi cha shilingi 789,052,846 bado zinadaiwa na kati ya hizo, shilingi 267,750280 ni deni la nje ya mkataba wa utaratibu wa mikopo wa sasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.