• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

UZINDUZI WA CHANJO YA SURUA, POLIO NA RUBELLA WAFANYIKA KARAGWE KIMKOA.

Imewekwa: October 18th, 2019

Na Frank I. Ruhinda

Uongozi wilayani Karagwe kwakushirikiana na timu kutoka mkoani, kwa kauli moja wamezindua chanjo  ya magonjwa ya watoto ya surua, rubella na polio hasa kwa watoto wa kuanzia miezi tisa hadi kufikia  miaka mitano.

Akiongea mbele ya halaiki iliyokuwepo katika kituo cha afya mjini Kayanga Mkuu  wa  wilaya  ya  Karagwe kwa niaba ya mkuu wa mkoa Ndg Godfrey Mheruka, amesema chanjo juu ya ugonjwa wa  surua imekua ikifanyika kila baada ya miaka mitatu, kuanzia mwaka 1999 hii lea.    

Aidha Bw Mheruka amesema kwa zoezi hili kwa magonjwa tajwa hapo juu, wanatarajiwa  kutoa  huduma kwa walengwa zaidi ya laki nne themanini na sita elfu, na lengo ni kudhibiti milipuko na  kutomeza magonjwa hayo.

“Ingawa kiwango cha chanjo kimeendelea kuwa juu, milipuko ya ungonjwa wa surua na rubella  imekuwa ikitokea kutokana na ukweli kuwa baadhi ya watoto hawakailishi ratiba ya  chanjo” amesema  mkuu huyo wa wilaya.

Inasemekana kuwa chanjo ya surua na rubella itakayotolewa inalenga kutokomeza magonjwa, ulemavu  na hatimae vifo kwa watoto wetu, jamii inayotuzunguka na hatimae Taifa kwa ujumla.

Magonjwa yanayokingwa kwa chanjo hapa Tanzania kwa sasa ni Kifua kikuu, Dondakoo,  Kifaduro, Polio,  Surua, Rubella, Pepopunda, Homa ya ini, Homa ya uti wa mgongo, Kichomi, Kuhara na Saratani ya  mlango wa kizazi.

Chanjo ni mkakati muafaka katika kutokomeza magonjwa na kupunguza vifo kwa watoto, na hivyo  kupunguza gharama kubwa ambazo familia, jamii na Taifa kwa ujumla lingetumia katika kutibu  magonjwa yanayozuilika kwa chanjo. Kwa mantiki hiyo, chanjo ni uwekezaji  wa kiuchumi katika familia,  jamii na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.