• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

SUALA LA USAFI WA MAZINGIRA LAVALIWA NJUGA WILAYANI KARAGWE.

Imewekwa: January 7th, 2021

Na Innocent Mwalo.

Wajumbe wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, chini ya Mwenyekiti wake, Mh. Vallence Kasumuni, kwa kauli moja wameazimia suala la usafi wa mazingira kuwa ni moja ya kipaumbele kwa viongozi na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya hii.

Wito huu umetolewa katika kikao kilichofanyika mnamo 07/01/2021, ikiwa ni kikao cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2020/2021 lakini kikiwa ni kikao cha kwanza wajumbe wa kamati hii ambao ni pamoja na Mh. Wallace Mashanda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hii, Mh. Jastin Fidelis, Mh. Evalista Sylivester, Mh. Mugisha Mathias, Mh. Thomas Rwentabaza, Mh. Rwamuhangi Mugasha, Mh. Agnes Melichori, Mh. Jane Bilaro, Mh. Edina Mugasha, Mh. Levina Kibogoyo, Mh. Florian Rwamafa na Mh. Mzakiru tangu ulipofanyika uchaguzi mkuu Oktoba 2020.

Wajumbe hao kwa kwa kauli moja, wamependekeza kwa uongozi wa wilaya hii na pia wameiagiza menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya kutafakari na kuirejesha siku ya Alhamisi kwa kila wiki kuwa ndio siku ya usafi kama ilivyokuwa hapo awali.

Pamoja na kikao hicho kuazimia juu ya Halmashauri ya wilaya hii kutekeleza mpango wa usafi hasa hasa ule unaohusu mfumo wa kukusanya taka ikiwemo suala la kubaini maeneo maalum ya kutupa taka, wajumbe wa kikao hicho wamesisitiza umuhimu wa wananchi kuhamasishwa juu usafi binafsi wa mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko ambayo huchagizwa sana na uchafu wa mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE NA UMMA KWA UJUMLA May 25, 2017
  • Ratiba ya Usafi wa Mazingira Karagwe June 08, 2017
  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari June 08, 2017
  • Tangazo la nafasi za kazi July 14, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI KARAGWE.

    January 19, 2021
  • WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WAENDELEA KUNUFAIKA NA MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA.

    January 11, 2021
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE YAIKABIDHI RASMI MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA “KDVTC”.

    January 09, 2021
  • MHESHIMIWA MASHANDA AMWANGUKIA PROFESA NDALICHAKO.

    January 09, 2021
  • Angalia zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.