• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Shilingi 42,782,750,000/= kujenga sekondari na zahanati Bugene.

Imewekwa: July 8th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Harambee iliyoandaliwa na wananchi wa kata ya Bugene chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Kata ambaye pia ni diwani wa kata hiyo, Mh. Mugisha Anselim Mathias imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi 42,782,750,000/= zitakazotumia katika ujenzi wa shule ya sekondari na zahanati katika kata hiyo.

Katika harambee hiyo mgeni rasmi, mbunge wa jimbo la Karagwe ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa, alimmiminia sifa kemkem Mh. Mugisha kwa kuona mbali na kuja na wazo hilo la kuanzisha ujenzi wa shule ya sekondari pamoja na zahanati katika eneo hilo la kata ya Bugene kutokana na ukweli kwamba licha ya makao makuu ya wilaya ya Karagwe kuwa katika kata ya Kayanga lakini kata ya Bugene inabaki kuwa ni moja kati ya kata ambazo zinaongoza kwa kuwa na ongezeko kubwa la watu hali inayopelekea uhitaji wa huduma hizo muhimu za shule ya sekondari na zahanati kwa sasa na kwa kipindi kijacho.

Mh. Bashungwa, huku akirejea baadhi ya takwimu zilizotolewa kupitia taarifa ya Mh. Mugisha ambayo ilionesha kwamba kutokana na kata ya Bugene kuwa na shule moja tu ya sekondari mathalani kwa mwaka huu 2021 kidato cha kwanza katika shule ya Bugene kina idadi ya wanafunzi wasiopungua 300 hali inayotajwa kwamba isipokabiliwa kwa jitihada kubwa ya kujenga shule nyingine mpya ya sekondari kwa sasa huenda ikaathiri utoaji wa elimu katika kata hiyo kwa kipindi cha miaka minne ijayo.

‘’Naomba madiwani wote wa kata nyingine 22 zilizopo katika wilaya ya Karagwe tuyaone maono haya Mh. Mugisha kama changamoto kwetu iltakayotuwezesha kufikiria juu ya namna ya kuanzisha miradi kama hii kwenye kata zetu’’, alisema Mh. Bashungwa.

Harambe hiyo iliyoendeshwa kwa ustadi mkubwa na Padre Sixmund Nyabenda, ambaye ni padre wa kanisa katoliki, jimbo katoliki la Rulenge -Ngara ilihudhuriwa na wageni wengine mashughuli akiwemo mkuu wa wilaya ya Karagwe, Mh. Julieth Binyura ambaye aliambatana na wajumbe wa kamati ya ulinzi ya wilaya, Mwenyekiriti wa Halmashauri ya wilaya, Mh. Wallace Mashanda aliyekuwa ameambatana na baadhi ya madiwani akiwemo mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji Mh. Charles Beichumila. Aidha, wageni wengine waaalikwa walikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ndugu Godwin Kitonka na baadhi ya wataaalum kutoka katika timu ya menejimenti ya wilaya.

Katika kiasi cha shilingi cha Shilingi 42,782,750,000/= ambacho kilichangwa, shilingi 12,6750,000/= zilitolewa kama fedha taslimu na kiasi kiasi kinachobaki kilitolewa kama ahadi huku michango mingine kama vile viwanja vyenye ukubwa wa ekari 7, matofali 1000, mti mmoja, gunia moja maharage, ng’ombe mmoja na michango mingine ya msaada wa kuezeka kwa paa la majengo hayo pale jengo hilo litakapofikia hatua hiyo ya kuezekwa, msaada ulioahidiwa na benki ya NMB Karagwe iliahidiwa pia kupitia harambee hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.