• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI KARAGWE.

Imewekwa: January 19th, 2021

Na Innocent Mwalo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, mnamo 19/01/2021, amefanya ziara ya kikazi wilayani hapa ambapo pamoja na mambo mengine ameweka jiwe la msingi ujenzi wa kiwanda cha kusindika maziwa na kusindika chakula cha mifugo (Kahama Fresh) kinachojengwa na mtanzania mzawa, Bw. Jossam Ntangeki wilayani hapa.

Awali katika taarifa yake kwa Mhe. Rais Dkt. Magufuli, Bw. Ntangeki, alimweleza Mhe. Rais ya kwamba mradi huu unatarajia kughalimu kiasi cha shilingi bilioni tisa ikiwemo bilioni 2.7 ambazo ni mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo ambapo kwa mra nyingine mmiliki huyo alibainisha ya kwamba baada ya kukamilika kwa mradi huo, kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusindika lita 10,000 kwa siku na hivyo kuwa na uwezo kuzalisha ajira takribani 400.

Mh. Rais Dkt. Magufuli, katika hotuba yake aliyoitoa kwa wananchi wa Karagwe waliokuwa wamefurika kwenye uzinduzi huo uliofanyika katika eneo la mradi lililopo kwenye Kata ya Kihanga ili kumsikiliza, alimpongeza Bw. Ntangeki kwa uwekezaji huo na kutoa wito kwa watanzania wengine kujitokeza kwa wingi kuwekeza katika ufugaji na uzalishaji wa maziwa kwa kuwa kwa sasa mahitaji ya maziwa kwa watanzania ni makubwa kuliko maziwa yanayozalishwa.

Katika hatua nyingine Mh. Rais ameiagiza Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kutangaza haraka zabuni za ujenzi wa kilomita 60 za barabara ya lami ya kuanzia Karagwe kwenda Ngara na ile ya kilomita 50 inayoanzia Kyerwa kuja Karagwe huku pia akimuagiza Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kagera, Mhandisi Andrew Kasamwa kukamilisha ujenzi wa daraja la Kitengule katika eneo la mto Kagera ifikipo Juni 2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.