• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

PROFESA NDALICHAKO AWASHUKIA “TBA” UTEKELEZAJI WA MIRADI YA “KDVTC”.

Imewekwa: January 9th, 2021

Na Innocent Mwalo.

Katika hali ya kuoneshwa kutokuridhishwa kabisa na namna Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) anavyotekeleza mradi wa ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Karagwe (KDVTC), Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mh. Profesa Joyce Ndalichako (Mb), amemwagiza Bwana Peter Maduki, Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Elimu na Mafunzo ya Stadi (VETA) kufanya ukaguzi wa kina ili kubaini matumizi ya takribani bilioni nne na milioni mia sita hamsini, (4,650,000,000.00/=) ikiwa ni ghrama zilizopangwa kutumika kujengwa kwa baadhi ya majengo katika chuo hicho.

Huku akionesha kutokufurahishwa kabisa na ujenzi unaoendela katika mradi huu, , kwa nyakati tofauti, katika hotuba yake aliyotoa wakati wa tukio la makabidhiano ya Chuo cha KDVTC kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Chuo (VETA) lililofanyika katika viwanja vya chuo cha KDVTC, Mh. Profesa Ndalichako aliwalaumu TBA kwa kushindwa kutekeleza kwa ufanisi miradi mbalimbali wanayopewa kuifanya na wizara yake.

“Ninyi TBA mna tatizo gani na Wiazara ya  Elimu, Sayansi na Teknolojia? Maana kila mnapopewa mradi wa wizara yangu hakuna mradi unautekeleza kwa ufanisi kama mnavyokumbuka hata mradi wa ujenzi wa majengo ya Mloganzila (sehemu ya chuo kikuu cha Muhimbili) tuligombana sana”, aliuliza Profesa Ndalichako.

Pamoja na kuagiza kufanyika kwa ukaguzi huo, Mh. Profesa Ndalichako aliwalaumu pia TBA kwa kushindwa kukamilisha  kwa wakati mradi huo na kuagiza ujenzi huo ukamilika kabla ya ifikiapo mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu.

Katika kukubaliana na jambo hilo, Mkuu w Wilaya ya Karagwe, Mh. Godgrey Mheluka alimshukuru Waziri Ndalichako kwa kubaini kasoro na hiyo na kuwaomba TBA kutekelza maagizo ya waziri huyo ili kama kuna fedha itabaki basi itumike kwa matumizi mengine.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.