• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

‘’Ninakwenda Kumaliza Mgogoro wa Dala dala’’ – Binyula.

Imewekwa: June 24th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Mkuu wa Wilaya Karagwe, Mh. Julliet Binyula, amewaomba wananchi wa wilaya ya Karagwe kuwa na subira kutokana na changamoto ya usafiri aina ya dala dala ambayo inawakumba wananchi wa wilaya ya Karagwe kwa sasa kutokana na mabadiliko kadhaa yaliyofanya na dala dala zinazosafirisha abiria kutoka makao makuu ya wilaya mjini Kayanga kwenda kwenye mjini Bukoba kwani Kutokana na muongozo uliotolewa na mamlaka ya usafiri wa nchi kavu (LATRA), magari yanayosafirisha abiria kutoka mjini Kayanga kwenda mjini Bukoba, safari zake zinapaswa kuanzia kwenye mji wa Omurushaka na sio Kayanga mjini kama iilivyokuwa imezoeleka hapo awali.

Mh. Binyula aliyasema haya kupitia mkutano maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika tarehe 24/06/2021, katika Ukumbi wa Angaza, alipokuwa akijibu hoja ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Paschal Rwamgata, ambaye alitumia fursa ya muda aliopewa kuzungumza na Baraza hilo keleza juu ya kero katika ya wananchi wa wilaya ya Karagwe hasa wanaotoka katika ukanda wa maeneo ya barabara ya kuelekea Murongo pamoja na wale wanaotoka mjini Kayanga wanaolazimika kwenda Omurushaka na sio kusubiri magari katika maeneo ya Kayanga mjini na Omugakorongo kama ilivyokuwa hapo awali.

‘’Sitaki kuona watu wanateseka, wakati mama Samia [Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania] yupo na mimi msaidizi wake [nikiwa mama] nipo, hivyo kuanzia kesho [tarehe 25/06/2021] nitakutana na Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya na Mkuu wa Polisi wilaya’’, alisitiza Mh. Binyula.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.