• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

‘’NI MARUFUKU MIKUSANYIKO ISIYOKUWA YA LAZIMA KARAGWE’’- DC BINYURA.

Imewekwa: July 27th, 2021


Na Innocent E. Mwalo.

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Julieth Binyura, ametoa maagizo mazito ikiwemo katazo la misongamano isiyokuwa lazima wilayani Karagwe kwa lengo la kupambana na kudhibiti wimbi la tatu la maambukizo ya UVIKO-19.

Marufuku hiyo ilitangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Julieth Binyura kupitia mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya, kwa kipindi cha robo ya nne, Aprili - Juni, 2021, uliofanyika katika Ukumbi wa Vijana Rafiki wa Angaza, Julai 27/28, 2021.

Huku akinukuu malekezo yaliyotolewa na Waziri wa Afya, Mh. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), Mh. Binyura, alitoa wito kwa wananchi wilayani hapa kuendelea kuwa wasilivu na kutekeleza maagizo na miongozo ya kujikinga la wimbi hili la tatu la UVIKO-19, kwani ukweli unaonesha kuwa kuna ulegevu wa kukabiliana na janga hili hasa mara baada ya kufanya vizuri na kuvuka salama katika mambapano ya ugonjwa huu yaliyofanywa wakati wa mapambano ya wimbi la kwanza na pili mwaka 2020.

‘’Ndugu wananchi, mtakumbuka kwamba wizara ya Afya imeendelea kusisitiza juu ya kuchukua tahadhali mbalimbali ikiwemo sehemu zote zinazotoa huduma za kijamii zinakuwa na miundiombinu ya huduma ya kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni na kama maji hakuna basi kuwe na matumizi ya vitakasa mikono, kuvaa barakoa na kuzingatia lishe bora pamoja na kufanya mazoezi’’, alielekeza Mh. Binyura.

Mh. Mkuu wa Wilaya aliendelea kutoa maagizo kwa kusema ‘’Kwa hiyo basi kwa kuzingatia kuwa tunakuwa na jitihada za makusudi ya kupambana na maradhi haya naagiza kuanzia leo tarehe 27/07/2021, kuepuka misongamano isiyokuwa na lazima pamoja na kuchukua tahadhali zote kama ilivyoshauriwa na kuelekezwa na Wizara ya Afya’’.  

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.