• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE AWATAKA WAZAZI WA WANAFUNZI WALIOHITIMU DARASA LA SABA KUWAANDAA WATOTO WAO KWENDA SEKONDARI AU VYUO VYA UFUNDI.

Imewekwa: September 20th, 2024

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE AWATAKA WAZAZI WA WANAFUNZI WALIOHITIMU DARASA LA SABA KUWAANDAA WATOTO WAO KWENDA SEKONDARI AU VYUO VYA UFUNDI.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Diwani wa Nyaishozi  Mhe:Wallance Mashanda amewataka wazazi wa wanafunzi waliohitimu darasa la saba kuwaandaa kwenda Shule za Sekondari na vyuo vya ufundi badala ya  kuwaacha nyumbani kuolewa au kufanya vibarua.

Mheshimiwa Mashanda ameyasema hayo  wakati wa hafla ya mahafali ya  darasa la saba ya shule ya Msingi Nyaishozi yaliyofanyika viwanja vya shule hiyo septemba 19,2024 Wilayani Karagwe.Ikumbukwe wanafunzi hao walifanya mitihani yao ya mwisho ya elimu ya Msingi septemba 11 na 12 mwaka huu,wakiwa jumla ya wanafunzi 163 katika shule hiyo.

Mheshimiwa Mashanda ameongeza kuwa Serikali imejipanga vizuri kuwapokea watoto kwenye shule za sekondari na imefanya juhudi mbalimbali kuhakikisha hakuna mtoto atasoma nje kwa kukamilisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na vyoo kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

“Wazazi naomba tuwajibike kwenye kutengeneza kesho nzuri kwa watoto wetu, Dunia sasa inaenda kasi hasa kwenye matumizi ya sayansi na teknolojia unapoacha mtoto wako nyumbani au kumshawishi afanye vibaya shuleni ukumbuke kuna kesho utazeeka au hutakuepo kabisa utamuacha mtoto kwenye mateso.Watoto  hawa bado ni wadogo wanahitaji malezi na ikiwezekana tuchochee vipaji vyao ili waweze kuenda na kasi ya dunia” alisema Mashanda

Naye Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Ndugu Hosea Mbulamagyo,amewataka wanafunzi kuendeleza tabia njema walizojifunza wakiwa shuleni na waendelee kuishi kwa kufuata maadili mema kwani jamii inawatazama na amewasisitiza kuepukana na  tamaa za dunia,nendeni hvyo hvyo na mjiande kwenda sekondari  na endapo watapangiwa shule za Sekondari wasiache kwenda  na amewasihi wazazi  kuacha kuficha  watoto .

Hata hivyo,Mhe: Wallece Mashanda alitumia jukwaa hilo kuwakumbusha wananchi kuhusu ujio wa Mwenge Uhuru Wilayani Karagwe utakaofanyika Septemba 24,2024 na Uchaguzi wa Serikali zaMitaaa utakaofanyika Novemba 27,2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.