• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE ATANGAZA KIAMA KWA WAOWAHARIBIA WANAFUNZI MASOMO

Imewekwa: August 29th, 2024

Mwenyekiti wa halmashauri ya karagwe na diwani wa kata ya Nyaishozi Mhe: Wallace Mashanda amewatangazia kiama watu wote wanaoharibia wanafunzi masomo pamoja na kuua ndoto zao za kusoma.

Ameyasema hayo wakati wa mahafali ya 15 ya kidato cha nne ya shule ya sekondari Kawela na ukaribisho wa kidato cha tano kwa wanafunzi wa kike iliyofanyika Agosti 28 ,2024 katika viwanja vya shule hiyo.

“Niwaonye wote wenye tabia ya kuwaharibia wanafunzi masomo yao kwasababu hatutakuwa na huruma kwenye hilo. Wazazi wanawekeza pesa nyingi kusomesha, Serikali pia imewekeza na kuipa elimu kipaumbele. Tumeshuhudia shule mpya na miundo mbinu wezeshi naomba tuitumie vizuri kuhakikisha watoto wetu wanasoma  mpaka elimu za juu”

Aidha, Mhe: Mashanda amewasisitiza wazazi kuwaendeleza watoto waliomaliza kidato cha nne kwenda kidato cha tano au vyuo vya ufundi badala ya kuwaacha nyumbani pia amewataka wazazi kushirikiana na uongozi wa shule kukomesha utoro shuleni ambao umekua changamoto.

Hata hivyo, Mhe: Mashanda amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe: Innocent Bashungwa kwa kuipatia shule ya Kawela  zaidi ya sh Million 582 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya shule ili kuwapa wanafunzi mazingira bora ya kujisomea na kufikia ndoto zao.

Pia Mkuu wa Shule wa Sekondari Kawela Ndg: Joel Kamanda ameishukuru Serikali kwa kuipatia shule mradi wa Maji, Fedha za Madarasa na matundu ya vyoo. Pia ameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa kuipatia shule sh Million 12 kwa ajili ya ujenzi wa bwalo.

Vile vile, Shule ya kawela imepokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa mara ya kwanza kutoka Mikoa mbalimbali nchini kwa michepuo ya sayansi na sanaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.