• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MKUU WA MKOA AUPOKEA MRADI KATIKA SHULE YA MSINGI CHEMA.

Imewekwa: April 10th, 2019

Na, Geofrey A. Kazaula

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig, Jen Marco E. Gaguti ameupokea mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa pamoja na Ofisi ya walimu katika Shule ya Msingi Chema iliyopo Kata ya Nyakabanga Wilayani Karagwe

Mradi huo umekamilika baada ya kuwa umejengwa na Shirika lisilo la kiserikali la Jambo Bukoba kwa shirika hilo kuchangia 60% ya ujenzi ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ilichangia 30% ya ujenzi huo na nguvu za wananchi ni asilimia 10% ambapo thamani ya mradi huo ni T.Sh 66,000,000.00.

Akizungumza na wananchi waliojitokeza wakati wa kukabidhiwa kwa mradi huo, Mkuu wa Mkoa wa Kagera amesisitiza juu ya utunzaji wa mradi huo ili  kufikia malengo ya Serikali ya kutoa elimu kwa wanafunzi.

Amesisitiza kuwa jamii iendelee na moyo wa kujitoa katika kuchangia miradi yao na kwamba Serikali itaendelea kufanya kazi kwa karibu na wadau mbalimbali wa maendeleo katika Mkoa wa Kagera ili kukamilisha miradi inayokuwa imechangiwa na wananchi.

‘‘ Mradi huu ni mzuri sana  hivyo jamii pamoja na walimu kuna wajibu mkubwa wa kuutunza mradi huu ili ufanye kazi zilizokusudiwa, lengo la mradi huu ni kutumika sasa, kesho na siku za badae ili kuhakikisha watoto wetu wanapata elimu bora hivyo ni jukumu la kila mmoja wetu hapa kuhakikisha mradi huu unatunzwa’’. Alisema kiongozi huyo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Ndg, Jackson Mwakisu amefafanua kuwa Halmashauri inao mpango wa kuendelea kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato yake ya ndani na kuwataka Shirika la Jambo Bukoba kutambua kuwa Halmashauri haitasita kuchangia pale Shirika hilo litakapo jitokeza tena kusaidia katika miradi mingine.

‘‘ Nitumie fursa hii kuwapongeza Shirika la Jambo Bukoba pamoja na wananchi waliochangia mradi huu, sisi kama Halmashauri kupitia mapato yetu ya ndani tutaendelea kuchangia katika kukamilisha miradi mbalimbali inayofadhiliwa na wadau na hivyo na waalika tena kuchangia hata maeneo mengine kwani mahitaji hasa ya miundombinu bado ni makubwa’’. Alisema iongozi huyo.

Maradi huo pia ulihusisha utengenezaji wa madawati kwa kila darasa pamoja na kiti kimoja cha mwalimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.