• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkuu Mkoa wa Kagera, Mh. Meja Jenerali Mbuge afanya ziara Rwambaizi itakapojengwa shule ya sekondari ya wasichana Mkoa wa Kagera.

Imewekwa: July 9th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Ikiwa ni kutaka kujionea mwenyewe bila kutegemea kuletewa taarifa mezani, Mkuu wa  mkoa wa Kagera, Mh. Meja  Jenerali Charles Mbuge, Julai 9, 2021, akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Mh. Profesa Faustine Kamuzora pamoja na wajumbe wote wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa walifika wilayani Karagwe na kutembelea eneo tarajali kwa ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya mkoa wa Kagera katika kijiji cha Rwambaizi.

Katika hali ya kuonesha kufurahishwa na mandhari ya eneo hilo pamoja na ukubwa wa eneo la ekari 57 zilizotengwa wa wananchi wa kijiji cha Rwambaizi kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo mkuu, Mh. Meja Jenerali Mbuge alionesha kufurahishwa na mapokeo ya wananchi wa kijiji hicho juu ya ujenzi wa maradi huo.

Wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kumsikiliza Mh. mkuu wa mkoa na ujumbe wake, katika eneo hilo la maradi tarajiwa, chini ya uongozi wa mwenyekiti wa kijiji hicho cha Rwambaizi ndugu George Francis na diwani wa kata ya Kanoni Mh. Frolian Rwamafa, kwa kauli moja waliridhia kujengwa kwa shule hiyo huku wakimhakikishia,  Mh. Meja Jenerali Mbuge kuwa wapo tayari kushirikiana na serikali katika ujenzi wa mradi huo na pia walimhakikishia mkuu wa mkoa ya kwamba eneo lote walilolitoa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo halina mgogoro wowote.

Katika hatua nyingine Mh. Meja Jenerali Mbuge na msafara wake walitembelea miradi mingine miwili inayotekelezwa hapa wilayani ya Karagwe ambapo miradi hiyo ilikuwa ni ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya wilaya (eneo la Nyakanongo) na ujenzi wa baadhi ya majengo katika chuo cha Ufundi Stadi cha Karagwe (KDVTC)

Pamoja na kuonesha kuridhishwa na mendeleo ya miradi hiyo miwili, Mh. Meja Jenerali Mbuge kwa nayakati tofauti alitoa maelekezo na maagizo kadhaa ambapo katika chuo cha KDVTC alimwagiza msimamizi wa maradi huo, wakala wa majengo (TBA) mkoa wa Kagera, Mhandisi Salum Chanzi kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kabla au ifikikapomwezi Septemba mwaka huu huku akirudi kuukagua mradi miezi miwili baada ya kukamilika kwake.

Aidha katika mradi wa ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya wilaya, Mh. Meja Jenerali Mbuge alitoa maagizo kwa menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Karagwe ambao ndio wasimamizi wa ujenzi wa mradi huo kuhakikisha mandhari ya eneo hilo yanafanyiwa usafi pamoja na kupandwa maua ili ubora wa majengo hayo ufanane na mazingiora yanayolizunguka eneo hilo.

‘’Nimeona jitihada zinazoendele katika mradi huu pamoja na mambo mengine mliyonieleza kupitia taarifa yebnu ya ujenzi napenda kuwaagiza kuwa ujenzi wa neo hiklo uwe umekamilika kblaau ifikapo mwezi wa nanAgosti mwaka huu ili dhamira ya serikali kuwapa wananchui hyuduyuma hii ya afya uwezekutimi’’, aliesema Mh. Meja Jenerali Mbuge.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.