• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MKURUGENZI HAPPINESS MSANGA AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KARAGWE

Imewekwa: August 29th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi. Happiness J. Msanga mapema leo Agosti 29, 2024 amezungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya karagwe lengo likiwa ni kupokea changamoto mbalimbali kutoka kwa watumishi hao na kuzitafutia ufumbuzi ili kuboresha na kuleta ufanisi katika utendaji kazi.

Akiongoza kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri Angaza Bi. Happiness Msanga amewasisitiza wakuu wa Idara na vitengo kutumia OC zao kununua vitendea kazi vya ofisi na kuweka mazingira rafiki kwa watumishi wao wa chini na kuishi kwa kushirikiana na kwa upendo ili waweze kutoe huduma bora kwa Wananchi.

Pia amewasisitiza Watumishi kuwa na nidhamu, maadili na utiifu wakati wa kazi na kuwahi kazini kwa mujibu wa sheria, kuzingatia mavazi yenye maadili kama mtumishi wa umma na namna nzuri ya kuwasiliana hasa kwa kutumia maandishi na kufuata cheni ya mawasiliano

“Tufanye kazi sisi ni watumishi wa umma tuache majungu tupendane na hasa huko kwenye idara zenu na vitengo tuonyeshane upendo na tufanye kazi kwa moyo mmoja”

Vile vile Mkurugenzi Bi. Happiness Msanga amewasisitiza watumishi juu ya matumizi ya mifumo ya TEHAMA na masuala ya manunuzi yote yafanyike kwenye mfumo sababu teknolojia inabadilika kwa hiyo watumishi tutii sheria na utaratibu uliowekwa na pia kutumia vizuri mfumo wa pepmis ili ukusaidie kupata promosheni

Aidha Bi. Msanga ameongeza kwa kuwaomba Watumishi wafanye kazi kama timu na kuahidi Kuunda kikosi kazi cha ukusanyaji wa mapato na ili tuweze kuishi kwa amani na furaha ni lazima tukusanye kwa wingi kwani mapato ndiyo njia ya kuondoa kero ndogo ndogo hasa hili suala la madeni ya watumishi

Kwa upande wa watumishi walipata nafasi ya kuuliza maswali mbalimbali ikiwemo ya madeni yao, uhaba wa vitendea kazi, upandaji wa madaraja, kubadilishiwa muundo na siku za mapumziko na kupatiwa majibu na ufafanunuzi wa maswali yao

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.