• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MINARA 7 YA SIMU KUJENGWA KATIKA PORI LA KIMISI KWA AJILI YA KUBORESHA MAWASIANO WILAYANI KARAGWE.

Imewekwa: February 6th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya mawasiliano katika maeneo ya vijijini na mijini yenye mawasiliano hafifu kama ilivyo kauli mbiu yao isemayo ‘’Mawasiliano kwa Wote’’, Mfuko wa Mawasiano kwa Wote, UCSFA, umepanga katika kipindi cha mwaka 2021 kujenga minara saba ya simu katika eneo la hifadhi ya Kimisi wilayani hapa ili kutengeneza mfumo wa upatikanaji wa mitandao ya mawasiliano.

Hayo yalibainishwa na Mhandisi Francis Mihayo, mjumbe wa Bodi ya UCSFA, katika kikao kilichofanyika kati ya taasisi hiyo na uongozi wa wilaya ya Karagwe mnamo 6/2/2021 katika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya.

Katika kikao hicho, kilichowashirikisha pia wajumbe wa Bodi ya Mfuko huo, wakiwemo ndugu Francis Chachah, Gerald Matee, Lawrence Mworia na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo, Bi. Justina Mashiba pamoja na mambo mengine waliweza kuelezea juu ya utekelezwaji wa miradi anuai ya mawasiliano katika kata 17 za wilaya hii ikiwemo kata ya Igurwa, Kanoni, Ihembe, Rugu na Bweranyanga.

Aidha katika kujibu hoja ya Katibu Tawala wa Wilaya, Mh. Innocent Nsena pamoja na washiriki wengine kutoka wilayani hapa ambao walielezea jinsi mawasiliano ya simu na redio yalivyo na changamoto katika wilaya hii, Mhandisi Mihayo pamoja na mambo mengine alibainisha kwamba tayari taasisi yake imekwisha sainiana mkataba na Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, ili kuboresha usikivu wa redio hiyo hasa katika maeneo yote pembezoni yenye changamoto kubwa ya kutokupata mawasiliano au kupata mawasiano ya simu na redio kutoka nchi jirani ambazo maeneo hayo yanapakana nazo.

 ‘’Pamoja na kwamba taasisi yetu ni tasisi ya serikali lakini tunalo jukumu la kuhamasisha ushiriki wa sekta binafsi katika utoaji wa huduma za mawasiliano kwa wote katika maeneo ya vijijini na maeneo ya mijini yenye mawasiliano hafifu’’, alisikika Mhandisi Mihayo akijibu swali la mshiriki mmojawapo wa kikao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.