• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MHESHIMIWA MASHANDA AMWANGUKIA PROFESA NDALICHAKO.

Imewekwa: January 9th, 2021

Na Innocent Mwalo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Mh. Wallace Mashanda, mnamo tarehe 09/01/2021, ametoa maombi maalum matatu kwa Waziri wa Ellimu, Sayansi na Teknolojia, Mh. Joyce Ndalichako (Mb) ili kutatua changamoto mbalimbali za sekta ya elimu wilayani Karagwe.

Katika hotuba yake aliyotoa wakati wa tukio la makabidhiano ya Chuo cha KDVTC kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Chuo (VETA) yaliyofanyikia katika viwanja vya chuo cha KDVTC, Mh. Mashanda alizitaja changamoto tatu zinazoitafuna sekta ya elimu wilayani hapa ikiwemo upungufu wa walimu takribani 1, 000 kwa shule za msingi na upungufu mwigine ni ule wa walimu wa masomo ya sayansi kwa shule za sekondari.

“Mh. Waziri pia tunahitaji msaada wa serikali kuu katika kukamilisha ujenzi  wa maboma 35 ya maabara ambapo ujenzi wake umefika takribani asilimia 70 ikiwa ni nguvu za wananchi na tatizo jingine la tatu ni kukosekana kabisa kwa shule za sekondari za kidato cha tano wilayani hapa”, alisisitiza Mh. Mashanda.

Aidha katika kuelezea utatuzi wa changamoto ya kukosekana kwa shule za serikali sekondari za kidato cha tano na cha sita wilayani hapa, Mh. Mashanda alitoa maombi kwa Mh. Profesa Ndalichako kufanyiwa kazi kwa mapendekezo ya uanzishwaji wa shule za sekondari za Kituntu, Nyakasimbi na  Nyabiyonza ili ziweze kuwa za kidato cha tano na cha sita.

Katika hatuna nyingine Profesa Ndalichako alikubaliana na maombi yaliyotolewa na Mh. Mashanda na kusisitiza kwamba tayari kilio hicho kilikuwa kimemfikia kupitia Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Mh. Innocent Lugha Bashungwa ambae pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo na hivyo kuwaahidi wananchi wa Karagwe kuzifanyia kazi changamoto hizo kadri itakavyowezekana.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.