• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MAKAMPUNI YA ULINZI YAAGIZWA KUAJIRI MGAMBO WENYE SIFA

Imewekwa: October 29th, 2018

Na  Frank  I.  Ruhinda

Makampuni ya  ulinzi  Wilayani  Karagwe  yameagiza  kuajiri  wahitimu  wa  mafunzo  ya  mgambo  kwani  ndio  wenye  sifa,  wala  sio  kuajiri  ndugu  zao  wasio  kuwa  na  sifa  wala  mafunzo  yoyote  ya   kijeshi.

Maagizo hayo  yametolewa mwishoni  mwa  wiki  wakati  wa  kuapisha  wanamgambo  hao  katika  uwanja  wa  changarawe  mjini  Kayanga  Karagwe.

Akitoa  maagizo  hayo  Mkuu  wa wilaya  ya Karagwe  Godfrey  Mheruka  amesema  makampuni  yote  ya  ulinzi  wilayani  Karagwe,  yanapaswa  kuajiri  hawa  vijana  waliojitolea  kwa  moyo  kufunzwa  mafunzo  ya mgambo  na  sio  kupendelea  ndugu  zao  tena  kutoka  nje  ya  wilaya  yetu  saa  nyingine  ata  hao  ndugu zao  hawana  mafunzo  yoyote  ya  kijeshi  na  watu  wenye  sifa  wanaachwa  hapa  wilayani  kwetu.

“Tuwe  wazalendo  jamani  ivi  unajisikiaje  unapomuita  ndugu  yako  kutoka  huko  huku  ukijua  kuawa  mtu  huyo  hana  sifa  ata  chembe  na  mwenye  sifa  ni  jirani  yako  hapa  unapoishi”  alisema  mgeni  rasimi.

Katika  risara ya  wahitimu  wa  mafunzo  hayo  ya  mgambo  iliyosomwa  na  Briliant  Meena ilisema  miongoni  mwa  changamoto  wanazokumbana  nazo  ni  pamoja  na  kukosa  kazi,  na wale  waliopata  kazi  kucheleweshewa  mishahara  au  kunyimwa kabisa  hadi  kukimbilia  kwenye  vyombo  vya  sheria.

Mafunzo  hayo  yametolewa  kwa  kipindi  cha  miezi  sita,  huku  wanamgambo  walioanza  mafunzo  walikuwa  jumla  335  na  waliohitimu  walikuwa  jumla  244.

Aidha  mshauri  wa  mgambo  wa  wilaya  aliwaasa wahitimu  hao  wa  jeshi  laakiba  kuwa  wasiende  kuleta  ubabe  wa  mafunzo  ndani  ya jamii   inayowazunguka  badala  yake  wanapaswa  kuwa  na  nidhamu  ya  hali  ya  juu  na  kusaidiana  na  jeshi  la  polisi  kulinda  amani.

Baada  ya  Mkuu  wa  wilaya  kufunga  mafunzo  hayo  alitoa  zawadi  kwa  badhi  ya  wahitimu  hao  waliofanya  vizuri  zaidi  katika  badhi  ya  vitu  kwa  mfano   kama  kulenga  shabaha,  kuwa  na  nidhamu  na  vitu  vingine.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI May 19, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.