• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MABONDIA 4 KUIWAKILISHA KARAGWE DC KWENYE MCHUJO WA KUTAFUTA TIMU YA MASUMBWI YA MKOA WA KAGERA.

Imewekwa: February 28th, 2025

MABONDIA 4 KUIWAKILISHA KARAGWE DC KWENYE MCHUJO WA KUTAFUTA TIMU YA MASUMBWI YA MKOA WA KAGERA. 


Mabondia wa 4 ambao ni Patson Pancras, Ibrahim Hassan, Joel Joseph na Hassan Keffa wanatarajia kuiwakilisha Wilaya ya Karagwe kwenye mashindano ya mchujo wa kutafuta timu ya Masumbwi ya Mkoa wa Kagera yatakayofanyika kesho Tarehe 01/03/2025 katika Ukumbi wa Linus, Mjini Bukoba.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe wakati wa kuaga Mabondia hao, Afisa Michezo George Sebastian amewatakia ushindi mabondia hao na kutoa wito kwa vijana wengine hasa wasio na ajira kujiunga na mafunzo ya michezo ya Masumbwi kwani kwasasa sio mchezo tu bali ni fursa ya ajira.

Aidha, Mwalimu wa Mchezo huo Kocha Sixbert Magambo amesema kuwa hii ni mara yao kwanza kushiriki mchujo huu na wanatarajia kuitumia fursa hiyo vizuri kuhakikisha wanafika ngazi ya Mkoa na Taifa kwenye mchezo huo.

"Maandalizi ya mchezo wa ngumi ni mazoezi, Sisi tumejiandaa na tunategemea kuiwakilisha vizuri Wilaya yetu ya Karagwe ili tupate nafasi ya kuwa kwenye timu ya Mkoa na hata Taifa" Alisema Kocha Sixbert.


 

Kwa upande wake, Bondia Joel Joseph ambaye alizungumza kwa niaba ya mabondia watakao iwakilisha Wilaya ya Karagwe amesema kuwa, kikosi kimejiandaa kwa muda mrefu na kiko vizuri na kipo tayari  kuitetea Wilaya kwenye mashindano hayo.

Hatahivyo, Mashindano hayo yatahusisha Wilaya zote 8 za Mkoa wa Kagera ikiwemo Karagwe, Ngara, Biharamulo, Missenyi, Muleba, Bukoba Manispaa, Bukoba Vijijini na Kyerwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.