• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MAANDALIZI YA MWENGE MAALUM WA UHURU 2021 WILAYANI KARAGWE YAMEPAMBA MOTO.

Imewekwa: July 30th, 2021


Na Innocent E. Mwalo.

Maandalizi ya Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 202 ambao utapokelewa katika wilaya ya Karagwe Oktoba 3, 2021, ukitokea katika wilaya ya Ngara, yamepamba moto ambapo Kamati ya Mwenge wilaya chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Julieth Binyura, tarehe 30/07/2021, wametembelea miradi mbalimbali ambayo mbio za mwenge wa uhuru zitaweka jiwe la msingi, kuzindua pamoja kukagua miradi hiyo.

Kazi hiyo ya kutembelea miradi hiyo ilifanywa katika meneo ya Kata za Nyakasimbi, Rugu, Nyaishozi, Bugene na Kayanga ambapo katika maeneo hayo miradi inayohusu sekta za afya, kilimo, misitu, mapambano dhidi ya UKIMWI na lishe ambapo  Mwenge wa Uhuru 2021 utapita kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi.

Aidha kwa kuzingatia kauli mbiu ya mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2021, isemayo’’TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu Itumike  kwa usahihina Uwajikaji’’, mwenge wa uhuru utatemebelea miaradi mbalimbali kama vile usajili wa wakulima kupitia mfumo wa ki-elektroniki.

Miradi mingine ni pamoja na klabu ya wapinga rushwa, miradi ya sekta ya maji, miradi ya ujenzi wa barabara za vijijini na mjini pamoja na miradi iliyotokana na ukopeshaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Katika majumuisho ya ziara hiyo, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya, Mh. Binyura alisisitiza kwa kusema, ‘’ Tumetemebelea miradi ila bado tuna changamoto ya kuibua/ kutafuta miradi bora zaidi, kwa hiyo nawaagiza wataalam wa Halmashauri na Idara nyingine za serikali kuendelea kubuni zaidi miradi’’.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • KARAGWE DC YAJIPANGA VYEMA KUUWAKILISHA MKOA WA KAGERA KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA TAIFA.

    May 23, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.