• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MAAFISA KILIMO 9 WAKABIDHIWA PIKIPIKI ILI KURAHISHA NA KUONGEZA UFANISI KATIKA UTENDAJI KAZI SEKTA YA KILIMO.

Imewekwa: October 1st, 2024

MAOFISA KILIMO  9 WAKABIDHIWA PIKIPIKI ILI KURAHISHA  NA KUONGEZA UFANISI KATIKA UTENDAJI KAZI SEKTA YA KILIMO.


Maofisa Kilimo 9 za Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe wamekabidhiwa pikipiki ambazo zimetoka Wizara ya Kilimo  kwa ikiwa ni muendelezo wa kuwawezesha  na kuongezea ufanisi katika utendaji  kazi Maafisa Ugani Nchini.Makabidhiano hayo yamefanyika makao makuu ya Halmashauri yaliyopo kata ya Kayanga.


Akizungumza katika halfa hiyo ya makabidhiano MKurugenzi Mtendaji Bi.Happiness Msanga ameishukuru Serekali kupitia Wizara Ya Kilimo kwa kuendelea kuwakumbuka watumishi wa Wilaya Ya Karagwe hususani maafisa ugani ngazi ya kata ambao shughuli zao kwa kiasi kikubwa  zinategemea usafiri kutokana na ukubwa wa maeneo na umbali ili kuwafikia wananchi kwa wakati.


“Nichukue nafasi hii kuwasisitiza maofisa wote ambao mmekabidhiwa pikipiki kwa ajili ya kufanikisha kazi zenu mzitunze na kuzitumia kama ilivyokusudiwa,sitegemei kuona mnazitumia kama boda boda au kwa matumizi yenu binafsi zaidi badala ya kuwatumikia wananchi ambao ndio walengwa.Pia niwakumbushe kuhakikisha mnaleseni halali na mmeudhuria mafunzo kwa wale ambao hamjui kuzitumia ili pikipiki hizi zisiwe sababu ya ajali,nategemea matumizi salama na mtazingatia Sheria za Usalama Barabarabani ili kuepukana na ajali zisizo za lazima” Alisisitiza Bi.Msanga.


Naye,Afisa Kilimo kata ya Kayanga ndugu Fatuma Hashimu akiongea kwa niaba ya maafisa kilimo waliokabidhiwa pikipiki hizo,ameishukuru Wizara ya Kilimo kwa kuwapatia pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikia wakulima kwa haraka zaidi na kutatua changamoto zao kwa wakati ukilinganisha na awali ambapo hawakuwa na chombo cha usafiri.


Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ina maafisa ugani 33 ambapo tayari maafisa 24 walishakabidhiwa pikipiki,na 9 ambao ni waajiriwa wa hivi karibuni ndio waliokabidhiwa leo ,hii ikiwa ni muendelezo wa hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuboresha mazingira ya ufanyaji kazi kwa watumishi wa umma katika kuongeza ufanisi  na  weledi katika kutimiza majukumu yao ya kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.