• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI YATAMATIKA WILAYANI KARAGWE.

Imewekwa: October 8th, 2024

MAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI YATAMATIKA WILAYANI KARAGWE.  

Kilele cha Maadhimisho ya Elimu ya Watu Wazima kwa Mkoa wa Kagera kimefanyika katika Halmashauri ya Wilaya Karagwe kwenye viwanja vya stendi ya mabasi Kayanga tarehe 04 oktoba 2024.

Maadhimisho haya yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo “Ujumuishi katika elimu bila ukomo kwa ujuzi, kwa ustawi, amani na maendeleo” yalifunguliwa rasmi Oktoba 02, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na kuhitimishwa 0ktoba 04, 2024 ambapo mgeni rasmi alikua Afisa Taaluma wa Mkoa ndugu Michael Lugola ambaye alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bi.Fatma Hajat  Mwassa

Hafla hii ilihusisha Wilaya zote saba za Mkoa wa Kagera ambazo ni Biharamulo, Bukoba mc, Bukoba, Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Ngara na Kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Wilaya hizo akiwemo Mkufunzi mkazi wa Mkoa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Karagwe, Wakuu wa idara za elimu ya msingi na sekondari, na maafisa elimu ya watu wazima kutoka Mkoa wa Kagera Pia, walimu wa shule za msingi na sekondari,Vyuo vya ufundi, wajasirialiamali,wawakilishi kutoka taasisi za fedha na benki, Wananchi,  pamoja na wanafunzi wa shule za msingi na elimu ya watu wazima.

Akisoma hotuba  kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, ndugu Michael Lugola alianza kwa kuelezea lengo la  elimu ya watu wazima ambapo alisema ilenga  kuto aelimu kwa watoto na watu wazima waliokosa nafasi kwenye mfumo rasmi wa elimu ambapo hujifunza kusoma,kuandika,ufundI stadi na ujuzi utakawawezesha kumudu maisha yao.Maadhimisho hayo ni utekelezaji wa sera ya utekelezaji wa sekta ya elimu unao akisi malengo ya dira ya Taifa ya maendeleo ya 2025 inayolenga watu wote kujua kusoma na kuandika

“Wito kwa wananchi wa kagera ni kutumia fursa inayotolewa na Serikali kuhakikisha wote tunaelimika kupitia hii programu ya Elimu ya watu wazima na niwasihi wazazi na walezi wasitumie fursa hii kama sababu ya kutosimamia matakwa ya sera ya  Elimu kwa watoto wenye umri wa kuwa kwenye mfumo rasmi kama ilivyoanishwa kwenye sera ya elimu ya mwaka 2004 na marekebisho yake ya mwaka 2014 na kuhakikisha uandikishwaj wa lazima kwa watoto unafanyika ambapo umeanza septemba na utamalizika disemba” alinukuu ndugu Lugola.

Aidha, Ndg: Michael Lugola alipata fursa ya kutembelea mabanda ya maonyesho  na kushuhudia namna vituo vya elimu ya watu wazima vinavyofanya kazi na elimu za ufundi zinatolewa pamoja na kuona baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na vituo hivyo. Mabanda yaliyokuwa eneo la maadhimisho ni banda la chuo cha Veta Karagwe (KDVTC), Fuxang heath care, Banda la CRDB, YES group, Wapambajina Arumas Open School ambapo aliwapongeza kwa juhudi zao na kuwahimiza kuendelea kuongeza bidii katika kazi zao ili kuboresha ubora wa bidhaa zao, kuwa na ushindani katika soko, na kudumisha dhamira ya kujifunza kila siku, kwani hii ndiyo nguzo ya elimu ya watu wazima.

Hatahivyo, Kupitia hotuba hiyo alikumbushia ushiriki wa Uchaguzi wa Serikali za MItaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 na kusisitiza watu wakajiandikishe kwenye daftari la makazi ambalo ndilo litakalowawezesha kushiriki uchaguzi huo utakaoanza oktoba 11 hadi 20, 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.