• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

Imewekwa: April 11th, 2025

KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

Kuelekea msimu wa zao la Kahawa kwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Maafisa ugani wa kata zote 23 wamepewa mafunzo rejea ili waweze kuwasaidia wananchi kuzalisha kahawa bora pamoja na kuongeza thamani ya zao hilo.

Mafunzo hayo yamefanyika mapema leo Tarehe April 11, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri (Angaza) yakiwa na lengo la kukumbushana wajibu wa Maafisa ugani katika kuhakikisha wananchi wanazalisha kahawa bora, kuongeza uzalishaji, pamoja na utoaji wa vibali vya kusafirisha na kuuza zao hilo.

Akizungumza wakati wa Mafunzo hayo, Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndg. Augustino  Lawi amesema kuwa kila Afisa Ugani anawajibu wa kuhakikisha Wakulima wanapata chakula bora na kuwatajirisha kwa kuwaelekeza namna ya kuongeza thamani mazao wanayozalisha pamoja na kuiongezea Halmashauri mapato.

Naye, Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Eng. Petro Mchele amesema kuwa Mafunzo hayo yatasaidia kuhakikisha zao la kahawa linakuwa endelevu na lenye tija katika kuongeza mapato kwa Wananchi na Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mkaguzi wa zao la Kahawa Wilaya ya Karagwe Ndg. Paul Magorima ameongeza kuwa, kupitia mafunzo hayo maafisa ugani wataweza kuwasaidia wananchi kutambua ni aina gani ya kahawa inakubalika sokoni kwa kuzingatia ubora ambao unahusisha ukomavu wa kahawa, kiwango cha unyevu unyevu pamoja na utunzwaji wa zao hilo kabla ya kupelekwa sokoni.

Aidha, Maafisa Ugani walioudhuria mafunzo hayo wameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi pamoja na Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa kuandaa mafunzo hayo ya zao la kahawa na kuomba kupata nafasi ya kupewa mafunzo ya mazao mengine ili waweze kubadilishana  na kuongezeana ujuzi ili kukuza uchumi wa Wananchi wa Wilaya ya Karagwe, Halmashauri  na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.