• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KUELEKEA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 08, 2025.

Imewekwa: February 25th, 2025

KUELEKEA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 08, 2025.

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani tarehe 08, Machi 2025, Wanawake wa kijiji cha Bujara wamejitokeza kushiriki zoezi la kuchota maji kwa ajili ya matumizi katika ujenzi wa zahanati ya kijiji. Zoezi hilo limeongozwa na Idara ya Maendeleo ya jamii kwa ushirikiano na Waheshimiwa Madiwani na Viongozi wa kijiji hicho, lengo likiwa ni kuhamasisha Wanawake kushiriki kwenye shughuli za Maendeleo katika Jamii.

Zoezi hilo limefanyika mapema leo tarehe 25/03/2025 kwenye eneo la Zahanati ya Kijiji cha Bujara, Kata ya Nyakasimbi katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe.

Akiongoza zoezi hilo, Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji ambaye pia ni Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Nyabionza Mhe. Jovitha Kombe amewapongeza Wanawake hao kwa kujitoa kwa hali na mali katika kufanikisha ujenzi wa Zahanati hiyo ambayo itakua msaada mkubwa kwa Wananchi wa kijiji cha Bujara. Pia amewataka Wanawake kuendelea kuhamasishana kushiriki shughuli za maendeleo na kutokubaki nyuma.

Naye, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Henrietta William amesema kuwa, Kuelekea Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe imejipanga kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo kuamsha ari ya ushiriki wa Wanawake katika miradi ya Maendeleo. Pamoja na kutoa kwa jamii kwa kuwezesha Wanawake na Wasichana waliopo kwenye mazingira magumu ili maadhimisho hayo yawe na tija kwa Wanawake na Jamii kwa ujumla.

Kwa upande wake,Diwani wa Kata ya Nyakasimbi mhe.Vallence Kasumuni ameishukuru Serikali kwa kuungamkono juhudi za Wananchi katika ujenzi wa Zahanati hiyo. Ameongeza kuwa, Zahanati hiyo tayari imeshapokea kiasi cha shillingi Mil 28 kutoka Halmashauri na Mfuko wa Jimbo ili kuongeza nguvu kwenye ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Bujara.

Zoezi hilo liliambatana na utoaji elimu wa fursa zinazopatikana kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa Wanawake ikiwemo Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu pamoja na Elimu ya Ujasiriamali. Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wanawake kwa Wilaya ya Karagwe yatafanyika katika Kata ya Ndama kijiji cha Kagutu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.