• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KARAGWE WAENDELEA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU.

Imewekwa: April 15th, 2019

Na Geofrey A. Kazaula

Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe imeendelea kutekeleza maagizo ya Serikali kwa kutenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwaajili ya kutoa mikopo kwa wanawake, Vijana na wenye ulemavu.

Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa kutoa mikopo kwa Robo ya tatu 2018/2019, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Ndg, Godwin M.Kitonka ame eleza kuwa Halmashauri kupitia Idara ya maendeleo ya Jamii itaendelea kutoa elimu kwa Vijana ili wajitambue zaidi na waone fursa ya kutumia mitaji kidogo kujiletea maendeleo.

Amefafanua kuwa Vijana wanapaswa kuelekezwa namna ya kuunganisha nguvu zao kuanzisha viwanda vidogo vidogo ili kujiongezea kipato na kwamba Halmashauri itaendelea kutoa mikopo hasa kwa vikundi vinavyofanya vizuri  na kurejesha mikopo hiyo kwa wakati.

‘‘ Nitoe wito kwa wakopeshwaji hasa vijana , kuna haja sasa ya kujitahidi kukuza mitaji yenu na sisi kama Serikali tutaendelea kuwakopesha ili mfikie hatua ya kuanzisha viwanda vidogo vidogo na suala hili lina wezekana kama watu watabadilika na kuona fursa hasa vijana wetu’’ alisema kiongozi huyo.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Mh, Wallace Mashanda amefafanua kuwa vikundi vya wanawake vinaonekana kufanya vizuri katika kurejesha mikopo ukilinganisha na vikundi vya Vijana na hivyo amewataka vijana kubadilika na kuwa waaminifu ili kurejesha fedha kwa wakati na kuwezesha wengine kukopeshwa.

‘‘ Vikundi vingi vya Vijana vimekuwa havifanyi vizuri katika kurejesha mikopo ukilinganisha na Vikundi vya akina mama , natoa wito kwa vijana kubadilika na kuona kuwa fedha hizi tunazotoa zinatakiwa zirejeshwe kwa wakati ili tuwakopeshe na wengine’’ alisema kiongozi huyo.

  Jumla ya T.Sh 80,000,000.00 zimetolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye Ulemavu katika Robo ya tatu ya mwaka 2018/2019 ambao jumla ya vikundi 37 vimepatiwa mikopo isiyo na riba. 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.