• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YATOA MAPENDEKEZO KWA BAJETI YA MWAKA 2021/2022.

Imewekwa: February 17th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC), chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Karagwe,  Mh. Godfrey Mheluka,  mnamo tarehe 17/02/2021 imejadili na kutoa ushauri na mapendekezo kadhaa juu ya Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ili Halmashauri iweze kukusanya kiasi cha takribani bilioni 2, 671,904,000.00 ambazo ni mapato ya ndani na hivyo kufikia lengo la kuwa na bajeti ya mapato na matumizi ya takribani bilioni 40,159,201,400.00 kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Katika mwaka wa fedha 2021/2022, ikiwa Baraza la Madiwani, katika kikao chake kitakachokaa hivi karibuni litapitisha bajeti hii, Halmasahauri ya Wilaya ya Karagwe inatarajiwa kuwa na bajeti yenye ukomo wa kiasi cha bilioni 40,159,201,400.00 ambazo ni mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya na fedha nyingine kutoka serikali kuu na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Aidha ili kuboresha ukusanyaji wa kiasi hicho mapato ya ndani ambapo Halmashauri ya Wilaya inatarajia kukusanya kiasi cha 2, 671,904,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo ushuru wa kahawa na mazao mengine kama vile maharage, mahindi, ndizi na mazao mengine madogo madogo.

Vyanzo vingine vitahusisha ushuru wa mkaa, mauzo ya mazao ya mkaa, ushuru wa mifugo na vitalu, ushuru wa kuchanja ng’ombe, leseni za vileo, mapato ya Mv. Ruhita, ushuru wa samaki, maombi ya zabuni, usaji wa tax, ushuru wa huduma, ushuru wa uzoaji wa taka ngumu na ushuru wa choo, ushuru wa madini, vibali vya ujenzi, pango la soko, nyumba za Halmashauri ya wilaya, adhabu mbalimbali, ushuru wa malazi, ushuru wa machinjio na ushuru wa asali.

‘’Nimeona mpango wa ujenzi wa Bashungwa Stadium kwa kweli kama mpango huu utafanikiwa Halmashauri ya Wilaya hii itaongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kutokana na ukweli kwamba wilaya hii ndio inayoongozwa kwa watu kupenda michezo katika mkoa wa Kagera’’, alishauri ndugu Juhudi Felix kwenye kikao hicho.

Ushauri mwingine uliotolewa na wakjumbe wa kikao hicho ilikuwa ni suala la bajeti hii ya Halmashauri ya wilaya kuwa na kifungu cha michezo ili kuchochea shughuli za michezo wilayani hapa.

Ushauri mwingine ilihusu suala la kupeleka miradi kwenye maeneo ambapo wananchi wameonesha nguvu zao pamoja na pendekezo kwa wafanya maamuzi wengine ili mapato yanayotokana na ukusanyaji wa ushuru wa chanjo ya mifugo yaiingizwe kwenye vyanzo lindwa kwani kwa sasa yanapoingizwa kwenye vyanzo visivyolindwa yanaathili suala la bajeti.

Kwa upande wake Wallace Mashanda ambaye ni mjumbe wa kikao hiki kwa wadhifa wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya pamoja na kukiri uwepo wa upungufu wa magari kama changamoto ya kutokufikia lengo la kukusanya mapato kwa kiasi kikubwa aliwatoa wasiwasi wajumbe wa kikao hiki kwa kuwaeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na 2021/2022, Halmashauri ya wilaya inatarajia kununua takribani magari matatu ili kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.