• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) YAPITIA NA KUJADILI RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026

Imewekwa: January 15th, 2025

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) YAPITIA NA KUJADILI RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe; Julius Kalanag Laiser leo tarehe 15.01.2025 ameongoza kikao cha kamati ya ushauri ya Wilaya (DCC) kupitia na kushauri rasimu ya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi; Happiness Msanga, Mwenyekiti wa Halmashauri, Viongozi wa vyama vya siasa, Wakuu wa Idara, Maofisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Mhe; Laiser ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, akiwakaribisha wajumbe katika kikao hicho maalum cha kujadili bajeti, amewashukuru wajumbe kwa mahudhurio na kuwataka kuwa huru katika kupitia na kujadili mapendekezo ya bajeti na kusisitiza kuwa wazalendo katika kujadili mapendekezo haya ya bajeti kwa ajili ya maslahi mapana ya Halmashauri yetu.

Akiwasilisha rasimu ya bajeti na mpango wa maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa mwaka 2025/2026 Ndg; Cyliacus Felician amesema kuwa Halmashauri imepanga kukusanya na kutumia jumla ya Sh. Bilioni 53.83 kwa mwaka huu wa fedha kwa matumizi mbalimbali ikiwemo ukamilishaji wa zahanati 8 zilizojengwa na wananchi na Uendelezaji wa miradi itakayoiongezea Halmashauri mapato.

Wajumbe walipata nafasi ya kuuliza na kutoa mapendekezo yao kufuatia rasimu ya bajeti iliyowasilishwa ambapo waligusia maswala ya kujenga majengo yanayo kwenda juu (gorofa) kwenye miradi yetu hasa mradi wa ujenzi wa ukumbi wa mikutano ambao umepangwa kutekelezwa katika bajeti hii, ujenzi wa miundo mbinu ya maji Mashuleni na kutenga bajeti kwaajili wa upimaji wa viwanja na kupatiwa hati ili kukomesha migogoro ya aridhi ndani ya jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.