• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA LISHE WILAYANI KARAGWE YAWEKA MIKAKATI MIZITO KUKABILIANA NA TATIZO LA UTAPIAMLO

Imewekwa: January 27th, 2021

Na Innocent Mwalo.

Ukiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la utapiamulo wilayani hapa, Kamati ya Lishe ya Wilaya, mnamo tarehe 27/01/2021 imefanya kikao chake cha robo pili kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 na kuweka mikakati kadhaa wa kadhaa yenye lengo la kuboresha hali ya lishe na kupunguza athali za utapiamlo wilayani hapa.  

Katika taarifa aliyoiwasilisha kwa wajumbe wa kikao hicho, Mratibu wa Lishe Wilayani hapa Bi. Lustika Mgumba alibainisha baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa katika kipindi cha robo ya kwanza kiliachoanza mwezi Oktoba 2020 mpaka Januari 2021 ya kwamba  jumla ya akinamama wajazito 9897 sawa na asilimia 64 waliweza kupata madini chuma ikiwa ni afua ya kupambana na tatizo la athali za utapiamulo kwa watoto wanaotarajiwa kuzaliwa.

Kali kadhalika Bi. Lustica alibainisha mafanikio kadhaa wa kadhaa yaliyofikiwa katika kipindi cha robo hiyo ikiwa ni pamoja na jumla ya watoto 70,0348 kati ya 731359 sawa na asilimia 92.2 kuweza kupata dawa za vitamin A, pamoja na jumla ya kaya 18113 sawa na asilimia 56 ya kaya 32306 za walengwa zilitembelewa kupewa elimu ya lishe na wahudumu ngazi ya jamii.

Aidha taarifa nyingine zilizowaslishwa katika kikao hicho kupitia Idara na wadau wengine katika sekta ya lishe wilayani hapa zilieleza baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa katika kuondoa tatizo la utapiamulo wilayani hapa, ambapo taarifa ya Idara ya Maendeleo ya Jamii ya Halmashauri ya Wilaya iliyowasilishwa na Bw. Deogratius Kanyonyi, pamoja na mambo mengine iliyobainisha kuwa vikundi vyote vilivyokopeshwa mikopo ya wanawake, vijana na wenye ulemavu vimeweza kuanzisha miradi mbalimbali kama ufugaji na ile ya kilimo cha bustani ili kukabiliana na tatizo la utapiamlo.

Mbali na mafanikio anuai yaliyotajwa na wajumbe waliowasilisha taarifa kuzihusu sekta za Elimu Msingi, Elimu Sekondari, Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Afya, Maendeleo ya Jamii, Maji, Mipango naTASAF pamoja na yale ya wadau wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na viongozi wa dini kuhusu sekta hiyo ya lishe, wajumbe walionesha kushtushwa na takwimu zilizotolewa na Idara ya Elimu Msingi ambazo zilibainisha ya kwamba kati ya shule za msingi 119 zilizopo wilayani Karagwe, shule 9 wanafunzi wake walikuwa hawapati huduma ya uji/chakula shuleni kwa robo ya Oktoba- Disemba 20202.

Kadhalika takwimu zilionesha kuwa kati ya shule hizo 09; shule 03 ni kutoka kwenye kata ya Kiruruma, 01 Kata ya Nyakakika, 02 Kata ya Kituntu, 01 Bweranyange, 1 Kanoni huku nyingine 1 ikitoka katika Kata ya Kibondo.

Aidha wajumbe walioneshwa kushangazwa sana na takwimu za Idara ya Elimu Msingi zilibainisha kuwa jumla ya wanafunzi 36,722 sawa na asilimia 49.67 ya wanafunzi wote 73,923 waliosajiliwa katika shule za msingi wilayani kuwa ndio pekee wanaopata uji/chakula shuleni.

‘’Kuanzia sasa ni lazima tubuni kampeni mbalimbali za kuhamasisha Elimu ya kujitegemea kwa shule zilizobainika kuwa na maeneo makubwa ya kilimo ili shule hizo ziweze kuzalisha chakula chake zenyewe’’, alisisikika mmoja wa wajumbe akipendekeza hilo liwe moja ya maazimio ya kikao hicho.

Kwa upande mwingine baadhi ya afua zilizopendekezwa na wajumbe hao ili kukabiliana na changamoto hiyo ilikuwa ni kuendelea kuhamasisha suala la lishe mashuleni kupitia vyombo vya habari, michezo mashuleni, vikundi vya kijamii na nyumba za ibada.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.