• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE YASAINI MKATABA WA MILLIONI 634 NA JIMBO LA FURTH NCHINI UJERUMANI KUDHIBITI TAKA NGUMU.

Imewekwa: August 28th, 2024


Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe imesaini mkataba wa miaka minne na Jimbo la Furth wenye thamani ya shilingi za kitanzania million 634 kwa lengo la kudhibiti taka ngumu ilikuimairisha utunzaji wa mazingira mamlaka ya mji mdogo wa Kayanga

Zoezi hilo la utiaji saini limefanyika tarehe 23 julai 2024 katika ukumbi wa ELCT Wilayani Karagwe na kushudiwa na waheshimiwa madiwani, wakuu wa Idara na Vitengo, baadhi ya watumishi wa umma, waandishi wa habari pamoja na wawakilishi kutoka jimbo la furth nchini Ujerumani

Mkataba huo umetiwa saini na Mkurugenzi mtendaji Bi.Happiness Msanga, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe; Wallace Mashanda, Mwanasheria wa Wilaya Ndg; Saul Nyamunda pamoja na meya wa jiji la Furth nchini Ujerumani Ndg; Andrea Horsche

Akizungumza mara baada ya utiaji saini, mwenyekiti wa Halmashauri Mhe; Wallece Mashanda amelishukuru jimbo la Furth kwa mchango wao na kuwa mdau wa maendeleo Karagwe nakuahidi kuwa pesa hizo zitatumika kama walivyokubaliana katika mkataba. Pia aliongeza kuwa, Halmashauri itachangia asilimia 10 ya mkataba huo fedha kutoka mapato ya ndani ili kuhakikisha utekelezaji wa utunzaji mazingira unaimarika

Kwa upande wake Bwana Andrea amesema kuwa jimbo la furth lipo tayari kutekeleza mradi huu kwa ushirikiano kuhakikisha mazingira yanatunzwa kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho

“Kwa Ushirikiano tunaweza kufanikisha mambo makubwa kwa ajili ya Manispaa zetu, mazingira yetu kwa ajili yetu na kizazi kijacho na tunasubiri kwa hamu hatua zijazo za utekelezaji na ushirikiano zaidi” alisema Adrea

Aidha Diwani wa kata ya Ihanda Mhe: Ladislaus Kamuhangile amelishukuru jimbo la Furth kwa mradi huo, na kuomba waendelee kushirikiana kwa mambo mengine ya kuleta maendeleo Karagwe

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.