• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE YAIKABIDHI RASMI MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA “KDVTC”.

Imewekwa: January 9th, 2021

Baada ya kukiendesha kwa takribani miaka 35 Chuo cha Ufundi Studi cha Wilaya ya Karagwe (KDVTC), tangu kuanzishwa kwake mwaka 1986, hatimaye Halmashauri ya Wilaya Karagwe imekikabidhi rasmi chuo hicho kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).

Makabidhiano hayo yaliyofanywa katika eneo la viwanja vya chuo cha KDVTC, kati ya Mh. Godwin Kitonka, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya na Dkt. Pancras Bujulu, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Tanzania (VETA), ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Eilimu, Sayansi na Teknolojia, Mh. Profesa Joyce Ndalichako (Mb).

Baada ya makabidhiano hayo sasa ni dhahiri kwamba shughuli za uendeshaji na usimamizi wa KDVTC zitakuwa chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia badala ya ile ya awali ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Awali katika taarifa yake kwa Mh. Waziri wa Elimu, Sayansi naTeknolojia, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Mh. Kitonka alibainisha mafanikio kadhaa wa kadhaa yaliyofikiwa na chuo hicho tangu kuanzishwa kwake yakiwemo yale ya kuratibu, kusimamia, kuwezesha, kukuza na kutoa elimu ya ufundi na mafunzo mbalimbali mfano useremala, udereva na kompyuta.

Licha ya KDVTC kukabidhiwa kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Tanzania, kwa upande wake Bwana Peter Maduki ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Studi, alikiri kuutambua mchango mkubwa uliotolewa na Halmashauri hii kwa nyakati zote toka kuanzishwa kwa chuo hiki na kutoa maombi kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hii kuendelea kutoa msaada na ushirikiano kwa chuo hicho kila utakapohitajika mara baada ya makabidhinao hayo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brigedia Jenerali Marco Gaguti, licha ya kupongeza hatua hiyo ya makabidhiano ambayo kwa mujibu wa hotuba yake ni kwamba yalifuata taratibu zote za kisheria ikiwemo vikao mbalimbali vilivyohusisha uongozi wa wilaya ya Karagwe na mkoa wa Kagera kwa ujumla, alitoa baadhi ya changamoto kwa taasisi za VETA zilizomo katika Mkoa wa Kagera.

“Kwa kuwa mkoa wetu (Kagera), ni moja ya mikoa saba itakayopitiwa na mradi wa Bomba la kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka jijini Tanga hapa Tanzania, naushauri uongozi wa VETA kubuni kozi mbalimbali za muda mfupi ili kuwapatia ujuzi vijana wetu na hivyo kuwawezesha kupata ajira mara mradi huo utakapoanza kutekelezwa”.

Licha ya kwamba taasisi ya VETA inasimamia vyuo vitatu tu mkoani Kagera ambavyo ni Chuo cha VETA cha mkoa wa Kagera, Chuo cha VETA kilichopo katika Manispaa ya Bukoba na hiki kilichokabidhiwa hapa wilayani Karagwe, Mh. Gaguti alitoa ombi maalum kwa VETA kusimamia kwa karibu takribani vyuo vyote 15  vya ufundi vilivyopo wilayani hapa kwa lengo la kuboresha elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.