• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DED KARAGWE ATAJA VIPAUMBELE VYAKE VINNE VYA UTENDAJI KAZI.

Imewekwa: May 4th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera Ndg: Dr. Amon David Mkoga Leo Mei 4, 2024 amekutana na kuzungumzana na Timu ya Wataalamu ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe (CMT), Watendaji wa Kata, Watendaji wa Vijiji, Makatibu Tarafa na maafisa Ugani kwa lengo lakufahamiana na kuwekeana mikakati ya utendaji kazi na ukusanyaji wa Mapato.

Katika kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Angaza amewataka watendaji wa kata, Watendaji wa vijiji, na Maafisa ugani kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato, kusimamia miradi, kusikiliza na kutatua kero zawananchi ikiwa ni pamoja na kuepuka kuzalisha kero mpya na kudhibiti magendo ya Kahawa.

"Katika kipindi chote nitakachokuwepo Karagwe vipaumbele vyangu ni vinne ukusanyaji wa mapato, Usimamizi mzuri wa Miradi ya serikali, kutatua kero za wananchi na ushirikiano wa pamoja ambavyo nitavitumia kupima utendaji kazi wenu ambavyo mkifanya vizuri nyie ni sifa kwa Halmashauri na wala hamtagombana na mimi zaidi ya kuwa marafiki na naomba ushirikiano wenu twendeni tukafanye kazi kwa kasi mpya,"amesema Mkurugenzi Dr. Mkoga.

Pia katika kikao hicho kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mh: Julius Kalanga Laiser na kuwaomba Watumishi kuwahi kazinina kutimiza majukumu yako kama mtumishi wa umma na Mtendaji wa kata ndiyo bosi wa kata kwa hiyo watumishi wote ndani ya kata walete taarifa ya Kahawa kwa Mtendaji wake wa kata.

“Tumpe ushirikiano Mkurugenzi wetu Dr. Mkoga ni mtu aliyenyooka na mpenda haki tumuamini atatenda miujiza na Halmashauri yetu itasonga mbele” Alisema Mkuu Wilaya Mhe: Laiser.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.