• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

Imewekwa: March 8th, 2025

DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.


Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe: Julius Kalanga Laizer amewataka Wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kutumia fursa zilizopo Wilayani humo ikiwemo mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ili waweze kujiimarisha kiuchumi.

Akizungumza mapema leo Tarehe 08/03/2025 wakati akitoa hotuba fupi ya maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani katika Wilaya ya Karagwe, ambayo yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Kagutu, Kata ya Ndama Wilayani humo.

"Moja ya changamoto hapa Karagwe ni ukatili wa kijinsia na kimama wengi wamekua wahanga kwasababu ya umaskini, kama mwanaume anajua huna unachoongeza kwenye familia lazima akutese. Uchumi ni nguzo imara kwenye familia zetu niombe Wanawake mfanye kazi na biashara ili muwe vizuri kiuchumi" Alisisitiza mhe. Laizer.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya siku ya Wanawake 2025 Bi. Ainess Samuel amewapongeza Wanawake wote Nchini kwa maadhimisho hayo na juhudi wanazofanya kwenye kuhakikisha wanashiriki kwenye shughuli za kimaendeleo Na kuwasisitiza kujitafutia vipato  vyao ili kupunguza matukio ya ukatili wa kijinsia ambao kwa kiasi kikubwa unasababishwa na wao kuwa wategemezi.

Aidha, Maadhimisho hayo yaliambatana na uzinduzi wa awamu ya kwanza wa utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo hundi ya kiasi cha shillingi Millioni 127 kwa vikindi 11 (Wanawake vikundi 9, vijana 1 na Watu wenye ulemavu 1). Vilevile, Maadhimisho hayo yalipambwa  na mashairi , muziki pamoja na mabanda mbalimbali ikiwemo banda la ya upimaji afya na lishe,  banda la dawati la jinsia na msaada wa kisheria pamoja na banda la wajasiriamali .

Hata hivyo, Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu isemayo "Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe haki, Usawa na Uwezeshaji yalienda sambamba na  Kufanya matendo ya huruma kwa wanafunzi wakike walio kwenye mazingira magumu kwa kutoa misaada ya hali na mali, kuboresha nyumba ya mama mzee kijiji cha kagutu, kushiriki shughuli za kujitolea kwenye miradi ya maendeleo ya jamiii, kutoa elimu kwa kushirikiana na SIDO ili kuongeza mnyororo wa thamani kwenye uzalishaji kwa  Wanawake wajasiriamali.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.