• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAIZER AONGOZA MAMIA YA WANANCHI WA KARAGWE KUAAGA MIILI YA WATU 5 KATI YA 7 WALIOFARIKI KWA AJALI YA GARI

Imewekwa: December 4th, 2024

DC LAIZER AONGOZA MAMIA YA WANANCHI WA KARAGWE KUAAGA MIILI YA WATU 5 KATI YA 7 WALIOFARIKI KWA AJALI YA GARI

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe. Julius Kalanga Laizer leo Novemba 4,2024 ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya watu 5 iliyotambuliwa kati ya 7 waliofariki kwa ajali ya gari iliyotokea jana tarehe 03/12/2024 katika barabara ya Kihanga-Kyaka Wilaya ya Karagwe.

Tukio la kuaga miili hiyo, limefanyika kwenye Kituo cha Afya cha Kayanga ambapo miili ya watu 5 kati ya 7 ambao ni Rumanyika Charles (25), Thereza Sebastiane (65), Amanda Alfred (3), Milembe Zion (miezi 8) na Martha Msambi (23).

Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mhe.Laizer ametoa salamu za pole kwa familia zilizoondokewa na wapendwa wao pamoja na Wananchi wote wa Wilaya ya Karagwe kwa kupoteza nguvu kazi ya Taifa. Pia ametumia nafasi hiyo, kutoa rai kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri kufuata sheria za barabarani ili kuepuka ajali ambazo zinaepukika.

“Ninaelekeza vyombo vya usalama barabarani kuhakikisha watumiaji wa barabara wanafuata sheria, hatutavumilia kupoteza watu tena kwasababu ya uzembe wa madereva ifahamike kuwa, yoyote atakaeingia Karagwe ni lazima afuate taratibu wa matumizi ya barabara. Serikali imefanya juhudi za kuweka alama za barabarani ikiwemo spidi ya kuendesha pamoja na taa ili kupunguza ajali,naomba tuzingatie sheria” alisema Mhe. Laizer.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Karagwe Bi.Happiness Msanga ameungana na Wananchi wa Karagwe kufanikisha zoezi la kuaga miili hiyo pamoja na kutoa pole kwa familia zilizopoteza wapendwa wao pamoja pia ametoa wito kwa wananchi ambao hawajui ndugu yao alipo kujitokeza kutambua mwili wa mtu mmoja  (Mwanamke) ambaye bado hajatambulika.

Aidha,Serekali imetoa majeneza kwa ajili ya kuhifadhi miili hiyo na mkono wa pole kiasi cha shilingi 450,000 kwa kila familia iliyopoteza mpendwa wao.

Hatahivyo, Ajali hiyo ilijeruhi watu 9 ambapo watu 8 walipelekwa Hospitali ya Mkoa wa Kagera kwa matibabu zaidi na hali zao kwa sasa zimeimarika na Mmoja alipelekwa hospitali ya Wilaya ya Karagwe amesharuhusiwa. Vilevile,  Uongozi unaendelea kuchukua taarifa za Majeruhi ili waweze kuwataarifu ndugu zao walipo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA BUJURUGA WAADHIMISHA SIKUKUU YA MKULIMA KWA KUFANYA MAFUNZO YA VITENDO YA KILIMO BORA CHA MPUNGA.

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI KARAGWE DC

    June 04, 2025
  • DED MSANGA ASISITIZA NIDHAMU KWENYE MASHINDANO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 25, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KARAGWE DC YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI HUMO.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.