• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAISER ASIKILIZA KERO MBAMBALI ZA WANANCHI WA TARAFA YA NYAKAKIKA.

Imewekwa: April 3rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe: Julius Kalanga Laiser Amesikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Tarafa ya Nyakakika na kuzitatua papo hapo ambapo Mkutano huo umefanyika katika Kata ya Kibondo kijiji cha Nyakaiga leo April 2, 2024.

                                                                                                                                            Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe: Julius K. Laiser

Mhe: Laiser aliongozana na wataalam wa taasisi za kiserikali na wataalam kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ambapo Mkuu wa Wilaya ameanzisha kliniki tembezi ya kutatua kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wengi katika Tarafa Tano na Kata 23 za Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe.

Katika Mkutano huo Wananchi wa Tarafa ya Nyakakika Wilayani Karagwe Mkoani Kagera wameomba kutatuliwa changamoto ya huduma ya Maji na Umeme ambayo imedumu kwa muda mrefu katika baadhi ya vijiji ambavyo havijapata huduma ya maji na umeme na kusababisha shughuli za uzalishaji mali kukwama katika kitongoji Cha Kabindi B, Kijiji Cha Kahio na kijiji cha Nyakaiga.

Wakizungumza katika mkutano wa adhara ulioitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe kwa lengo ya kuisikiliza kero za wananchi na kutoa majibu April 2 mwaka huu wamesema kwa Sasa vipo baadhi ya vijiji bado havijawashiwa na kumuomba mkuu wa Wilaya kuwasaidia kwa kuwatumia wataalam kuwapatia huduma hiyo

Akiuliza swali katika mkutano huo Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji John Katunzi Kahio na Venant Evarister mkazi wa kitongoji Kabindi B wamehoji ni lini umeme utawashwa kwa wananchi wengine kutokana tayari nguzo zimesimikwa kwa muda mrefu   na  nyumba tatu ndo zimewashiwa umeme

Akitoa majibu Meneja TANESCO Wilaya ya Karagwe Kitila Anania amesema awali Mkandarasi alipewa kilometa 1, na mpaka kufikia Sasa ameongezewa kilometa mbili ili kuwaunganishia wananchi na kufikia jumla ya wateja 66 kupata umeme

Pia alitolea Majibu amesema katika kitongoji Cha Kabindi hakikupata nishati ya Umeme katika awamu ya kwanza REA awamu ya tatu mzunguko wa kwanza na kukamilika mwaka Jana hivyo katika maeneo ambayo hayakufikiwa na umeme wapo tayari kwenye mpango na watafikiwa na umeme.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.